Endelea sana kunifuatilia.,,,!! kuna zawadi yako taaam nimekuandalia
katotolevese,,,!
ha ha ha ha......daaaaahhhh jf ni nouma
Endelea sana kunifuatilia.,,,!! kuna zawadi yako taaam nimekuandalia
katotolevese,,,!
una miaka mingapi.....
Magomeni mapipa, kama unatoka kariakoo ni mkono wa kuume, kuna gorofa rangi ya kijani juu kuna minala, hapo ndiyo barabara kuu, yakwenda nyumbani.
Kama umesoma ukaelewa namaanisha nini? na niaongelea nini, kinachokusumbua ni kitu gan? kama siyo kutafuta sifa za kijinga!!!
wewe jamani si nilikuona unamsihi mtu asikutukane???? ha ha ha ha.... wanawake wengi tunapenda wanaume wanaokubali kukosolewa.. ukikidhi hicho kigezo tayari mwanamke mzuri unamiliki wewe.
mmmmh kama ni hivyo basi siwezi, kabsa, mimi napenda niwe kama driver.
mmmmh kama ni hivyo basi siwezi, kabsa, mimi napenda niwe kama driver.
Haswa magomeni IPI, kwa maana Mimi nimetokea huko huko ndio wetu. Kuna mapipa,mikumi, Morocco hotel nakadhalika . Huwezu jua labda sisi ni ndugu Lol. Aaaaaaaahhhh Aaaaa.
Home magomeni makuti hii njia inayoshuka tandale
yaani ukifika kuanzia moroko ukiniulizia kwa jina langu halisi hunikosi
nikitaka kuwa mwenyekiti wa mtaa napata kabisa ila mambo yangu mengi tu
wewe uko mtaa gan? mkuu, plz pm
Basi mabint warembo Anza kuwaita shemeji tu.
Home magomeni makuti hii njia inayoshuka tandale
yaani ukifika kuanzia moroko ukiniulizia kwa jina langu halisi hunikosi
nikitaka kuwa mwenyekiti wa mtaa napata kabisa ila mambo yangu mengi tu
3 idio.ts
ha ha ha ha ha ha ha ha
We jamaa una inferiority complex ya kukosa elimu. Madem wazuri wanataka mwanaume anayeongea sense, kama unavyoandikaga hapa ndivyo unavyoongeaga, nakuhakikishia huwezi kupata demu mkali.
Jifunze kuongea kisomi, kuandika kisomi, kuchanganua mambo mbali mbali kiusomi, hata kama mtu umemzidi kitu hutakiwi kujionyesha kiuwazi.
Usipende kitaka kuwaonyesha watu vitu unavyowazidi kujustify kwamba hata kama hujasoma ila unawazidi, wanawake hawapendi hii.
Yupi huyo hem nikumbushe
Ha ha ha ha......duuuuhh.... pole sana ila mbona nasikia wanaume wa shinyanga ni watu wazuri sana.... ukiwa hivyo naona kama utawawakilisha ndivyosivyo.. ukikataa kukosolewa inamaana we ni dictator.
Ndiyo maana niko hapa ili kupata infor na kujifunza makosa ambayo huwanga nayafanya!!!