Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,512
Ndgu yangu acha jokes bhana huku kwetu shinyanga hakuna cha madazi katika familia za wafungaji.
nikusubiri ungali wa asubuhi wa mtu anayeenda kuchuga ng'ombe
kwa lugha ya kitalaam tunauita
"bungali wa ndimi'"
Samahani mkuu anasema ulikopa ughali "bungali wa ndimi"ila hadi sasa hujamlipa eti anasema unajidai we mjanja, mkuu we kamlipe tu hela yake.