Hapa ni kwa wanawake tu

Hapa ni kwa wanawake tu

Kama ni ivo ujijue huna tabia nzuri, wanawake tunapenda mtu mwenye tabia nzuri...
-Tabia za majungu hatupendi
-Kuulizwa maswali ya kijinga hatupendi
-Majigambo yasiyo na mbele wala nyuma hatupendi

Huyu msukuma hapo kwenye majigambo ndo panamponza...
 
We jamaa una inferiority complex ya kukosa elimu. Madem wazuri wanataka mwanaume anayeongea sense, kama unavyoandikaga hapa ndivyo unavyoongeaga, nakuhakikishia huwezi kupata demu mkali.

Jifunze kuongea kisomi, kuandika kisomi, kuchanganua mambo mbali mbali kiusomi, hata kama mtu umemzidi kitu hutakiwi kujionyesha kiuwazi.

.

Which type of language inayomtofautisha uneducted and educted man, kama ni kiswaenglish big no!!
 
Jamani naombeni msaada
wenu,,!

hivi nyie wanawake huwanga mnaangalia sifa zipi na uzuri upi? ambao
unapelekea kumpenda wanaume.!,

nasema hivyo mimi kila siku yananitokeanga, eti kivulana kifupi kama
bilikimo lakn kanamiliki msichana mzuri, wakati nikiangalia kwa hali ya
kawaida namzidi kila kitu, uzuri, urefu, hela n.k
na nina tabia zuri katika jamii.

kama maneno matamu ya mahaba nina vitabu vitano kila siku nasoma, lakini
sijapa furusa yeyote ni nani niwambie hayo maneno matamu.

naombeni msaada wenu wanawake.!!

mnnnnn umethema? ebu weka picha afu nitakwambia kitu.
 
Kinachokufanya ukasilike ni nini? kama siyo ukichaa unaokusumbua, ukichaa wako ndiyo unakufanya ujenge chuku na mimi!!! kila mtu ana uhuru wa kuandika anavyojisikia kwa uelewi nilichokiandika bora usichangie chochote.

kwanza nashukuru sana kwa tusi lako

mungu akubariki sana pamoja na ukichaa wako. emen

Hebu cheki hilo neno vizuri kama ni kiswahili fasaha
 
wewe ni she or he hehehehe (jokes)

inferiority complex yangu ni kukosa formal education, hehehe, siyo kweli how many tanzanian ambao hawajafika hata darasa la kwanza, kuna watu wangapi tz, ambao hawajui hata "the," hata kiswahili kuongea kwao ni shida.

mm nina matatizo gani ya kiakili hadi nijenge inferiority complex becouse sijapata furusa ya kufika chuoni. my thinking capacity ni zaidi ya mtu aliyefika chuo, nina elimu yakutosha zaidi ya unavyofikiri

Hapo ndo unapokosea
 
Kujiamini, kujikubali na kulidhika, ndiyo vitu ambavyo humufanya mtu aishi maisha ya aman.

Basi ndo upunguze mashauzi Ngosha...unaenda kutongoza kama unapiga kampeni..ooh mimi nilisoma shule, nlienda ulaya, nimepanda ndege, nina ngombe (sio ng'ombe) mia mbili, mara atm card imegoma....khaaaa hapo kinachofuata unapandishwa unashushwa halafu unawekwa kwenye dustbin...

Pia jifunze kuvaa vizuri...manake na nyie mmechelewa kwenye mavazi...hamchelewu kuvaa kijani kuanzia soksi hadi tai...
 
Wewe nyambafu kabisa....

Nilikuwa sijakuona,,, wewe zezeta!!!! kulichokusababisha ukafungua huu uzi ni nani? wakati kichwa cha habr kinajieleza kwa 100%, kama siyo kutafuta nikufanyie hesabu. ni nin unatafuta???
 
Jamani naombeni msaada wenu,,!


nasema hivyo mimi kila siku yananitokeanga, eti kivulana kifupi kama bilikimo lakn kanamiliki msichana mzuri...
naombeni msaada wenu wanawake.!!

Neno ulilotumia kwenye red lina ukakasi kidogo. Sina hakika kama ni kweli kuna mmoja anammiliki mwenzake...
Ila kama ulivyosema, mi ni mpita njia tu!
 
wewe ni she or he hehehehe (jokes)

inferiority complex yangu ni kukosa formal education, hehehe, siyo kweli how many tanzanian ambao hawajafika hata darasa la kwanza, kuna watu wangapi tz, ambao hawajui hata "the," hata kiswahili kuongea kwao ni shida.

mm nina matatizo gani ya kiakili hadi nijenge inferiority complex becouse sijapata furusa ya kufika chuoni. my thinking capacity ni zaidi ya mtu aliyefika chuo, nina elimu yakutosha zaidi ya unavyofikiri

Itakuchukuwa muda kuelewa nini maana ya vitu vya maana, jinsi ya kuwakilisha maada unayotaka kuiwakilisha kwa maneno ambayo hayatamsababisha msilizaji kujisikia kuwa kasemwa vibaya (kawa offended).

Na sio lazima uchanganye kiingereza kuonekana msomi kaka.

Madem wakali utaendelea kuwaita shemeji mpaka utakapojitambua!
 
Back
Top Bottom