Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,226
- 44,225
Hakuna kilichofanyika........nimeondoa vitu vingi lakini ngoma ipo pale pale......kuna mtu kaniambia ni virus hiyo........hapo nafanyaje.......?
jaribu ku update kwenda 4.3 ukiona still inazingua wafuate ofisini kwao samsung. hope una warranty. hili haliekei kua tatizo la android bali ni os yenyewe tu