Socratesson
Senior Member
- Oct 5, 2012
- 119
- 23
Tatizo kubwa tulilonalo Ni chuki na fitina zilizojaa mioyoni mwetu,Hatumkubali mtu hata kama kafanya vizuri kwa viwango Gani! Napenda tu nimsihi mchingiaji anayewaita watu wanavichwa vya nazi kuwa yeye ndiye mwenye kichwa hicho,na ameshindwa hata kulink hoja yenyewe,badala yake unaeneza siasa za chuki USIENDESHWE NA HISIA ZA CHAMA CHAKO BALI ANAGALI UTAIFA KWANZA.Wachangiaji wengine WA mada tajwa hapo juu wapo sahihi na makini sana.Uwe unasikiliza mambo kwa umakini kisha balance ukweli na hujuma.Pengine Ungeitwa leo hii mahakamani kutoa ushaidi wa Edo,ungetoroka nchi kabla ya ya ushahidi wako,maana tunauhakika huna hata chembe zaidi ya siasa za chuki binafsi.Tafadhali Usichangie hoja kama Konda wadalala ambeye yeye huacha kichwa nje na makalio hubaki ndani.