Hapa Lowassa hatoki...

Hapa Lowassa hatoki...

Kwa mwendo huu Lowasa ajilie Mipesa yake JK kamwekea mchanga maji kwenye mafuta ikulu ndo basi tena.
 
Mchambuzi: Maelezo yako ni so objective and inspring! Yote tisa, kweli Mwigulu mjaa matusi ya nguoni amepwa cheo kikubwa hivyo ndani ya CCM? CCM inawawapelekea ujumbe gani vijana, watoto na wajukuu zetu kuhusu maadili kupitia Mwigulu? Nimechoka kabisa.

By the way may I ask you a couple of questions just out of curiosity. Kinana imekuwaje amerudi kwenye siasa wakati alishaaga? Je Mzee Man'gula hatachoshwa sana na hizi siasa za makundi ndani ya CCM ambazo Mwenyekiti ameshindwa kuzimaliza kwa takribani miaka saba baada ya kubwagwa Ukatibu Mkuu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2005? Is this not sheer manipulation taking advantage of the humble and wise old man into a messy situation created by a sect of selfish and incompetent ruling clique? Can he really untangle the numerous complicated knots?[/QUOTE]


What an opportunity for CDM!!
Dr. Shein, Dr. Migiro, Phil Mangula, AB Kinana, Zakia Meghji, M'med seif Khatib .
Hawa wote ni wachovu and too soft; just look at their faces! Old wine in a new bottle hawana tena strength of character, appetite wala ubavu wa kuhimili mikiki mikiki ya siasa za majukwaani za vijana wa M4C.

Kinana mara astaafu then 2 months on arudi centre stage, njaa au woga?! he is confused hajui kama arudi kismayu au Hargeisa au aendelee kuishi hapa nchini na afanye nini baada ya kutangaza kujiuzulu siasa.


Vuai Vuai: Ana tresses za uamsho ambao hawataki muungano and therefore CCM, Karume anasema wasikilizwe ili CCM ianguke Zanzibar na muungano ufe!

Nape nauye - Debe shinda haliachi kutika; hana jipya.

Nchemba; Jack of all trades, master of nothing except belching out HOT AIR!!

CDM go go go!
 
Mchambuzi, I now hate this ccm of current times with all my heart so I am not biased on anything concerning the current ccm! But nevertheless, sioni jinsi lowassa atakavyokuwa na influence kwenye nec hii!
Ngoja tuangalie na ''mwenye njaa'' kwenye hii group ambaye ni rahisi kufisadiwa kutoka Monduli
 
We uko kambi gani?
hii ni sekretarieti lakini, sio cc; tulichonacho so far ni wajumbe saba wa sekretarieti ambao automatically wanaingia kwenye cc; kwahiyo hawa ni wajumbe wa mwanzo wa cc i.e. Wajumbe saba kati ya jumla ya wajumbe ishirini, which makes it only one third of the total so far; ni muhimu tusubiri uteuzi wa wajumbe 13 waliobakia ili tujue ni kina nani, then ndio tuingie katika analysis husika;
 
Lowassa ni Mmasai Fisadi ambaye kivuli cha nguvu zake za kisiasa ndio mhimili wa sasa wa CCM(Mkutano mkuu, NEC, Jumuiya), Bunge(Spika, Kamati), Dola(Cabinet, Army, Ikulu, TISS, PCCB)

Ieleweke EDWARD LOWASA SI MMASAI KWATU HUYU NI MMERU ,MMERU NI MCHAGA ANANAYEKAA ARUSHA LUGHA,MILA,KOO NAKILA KITU NI SAWA NA MCHAGA WA MACHAME,huko Monduli alikwenda kulowea,Ukoo wake na ndugu zake wote wako Arumeru aliko mbwagwa ubunge na mkwe wake.

Kuwa yeye ni nani nchi hii ni Mwizi wa kimataifa na watu kama hawa si wakufanyia mzaa
 
Kwa kweli khs kumu-undermine Mwigulu namna hiyo nafikiri unakosea sana, umechambua vizuri ila hapo umekosea sana kwa sababu huyo bwana anachukiwa na upinzani kwa ajili ya kuwapa vidonge vyao sio kila mtu anaona Mwigulu anaongea pumba, kawasome vizuri wapiga kura kaka.

Nchemba? Hakuna siasa za maana anazozifanya kitaifa zenye kujenga chama miongoni mwa wapiga kura, pengine anajenga chama miongoni mwa wanachama lakini wapiga kura ndio asset ya msingi kushinda uchaguzi, sio wanachama wa ccm tu; Vinginevyo hivyo vidonge sijui mipasho ni lazima wana ccm wavipigie vigelegele; Mimi siongeleo yeye kaam mbunge kwake huko, namuongelea kama kiongozi wa CCM kitaifa, na katika hilo amefeli, period;
 
Hii ni sekretarieti lakini, sio CC; tulichonacho so far ni wajumbe saba wa sekretarieti ambao automatically wanaingia kwenye CC; Kwahiyo hawa ni wajumbe wa mwanzo wa CC i.e. wajumbe saba kati ya jumla ya wajumbe ishirini, which makes it only one third of the total so far; Ni muhimu tusubiri uteuzi wa wajumbe 13 waliobakia ili tujue ni kina nani, then ndio tuingie katika analysis husika;

Kwani we unadhani huyu jamaa analijua hilo?!!! anakurupuka tu!!!!!!
 
Mchambuzi,

Mara nyingi huwa naungana mkono na mawazo yako na hoja zako lakini huwa unanishangaza sana unapo sympathize na wapinzani kwamba walichakachuliwa kura za urais 2010 sijui huwa unaogopa kupoteza support ya watu hapa JF au la lakini kwenye hili ungekuwa realistic uwaambie tu rafiki zako kwamba mgombea wao Slaa alibwagwa. Kwa kufanya hivi utakuwa umewasaidia sana na pengine wataongeza nguvu kuliko hivi sasa ambapo unawatia moyo kwa kuashiria kuwepo kwa uchakachuzi 2010 halafu wana relax wakifikiria 2015 ndio wanaingia Ikulu. Sisi wote tunafahamu masanduku huwa transparent na kila mtu anaona kinachoingia na kura zinahesabiwa kila kituo na matokeo yanabandikwa.

Sina wa kumuogopa CCM na sina haja ya kutafuta sympathy JF kwa kuegemea upande fulani; Kama nina support humu bais imetokana na watu kuheshimu msimamo wangu na pia mtazamo wangu unaotokana na hoja ninazojenga; Vinginevyo ccm kuchakachua kutochakachua 2010, hali ya chama ni mbaya, period;

Ingekuwa na nyinyi basi mnaweka sura zenu za kweli au majina ya kweli ili muone tofauti itakayojitokeza; na ni jambo rahisi sana iwapo unaweza unaweka woga nyuma, na badala yake uzalendo mbele, ukweli mbele, baala ya uchadema au uccm;
 
We uko kambi gani?
Mimi ni mpiga kura wa tanzania, uanachama unakuja baaade, na nipo tayari kupigia kura mgombea mzuri wa chadema au wa ccm; kwa sasa sioni mgombea mzuri wa CCM bad, muda ukifika nitasema; ccm tunahitaji mtu mwenye kuweka ushindani mkali kwa slaa au lissu, hawa ni viongozi ambao nchi inahitaji sasahivi, ccm tutafute watu kama hawa;
 
Mbona sura zote zimechoka wanajua hawamaanishi wanachokiamini mioyoni mwao.
 
Mchambuzi: Maelezo yako ni so objective and inspring! Yote tisa, kweli Mwigulu mjaa matusi ya nguoni amepwa cheo kikubwa hivyo ndani ya CCM? CCM inawawapelekea ujumbe gani vijana, watoto na wajukuu zetu kuhusu maadili kupitia Mwigulu? Nimechoka kabisa.

By the way may I ask you a couple of questions just out of curiosity. Kinana imekuwaje amerudi kwenye siasa wakati alishaaga? Je Mzee Man'gula hatachoshwa sana na hizi siasa za makundi ndani ya CCM ambazo Mwenyekiti ameshindwa kuzimaliza kwa takribani miaka saba baada ya kubwagwa Ukatibu Mkuu mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2005? Is this not sheer manipulation taking advantage of the humble and wise old man into a messy situation created by a sect of selfish and incompetent ruling clique? Can he really untangle the numerous complicated knots?


What an opportunity for CDM!!
Dr. Shein, Dr. Migiro, Phil Mangula, AB Kinana, Zakia Meghji, M'med seif Khatib .
Hawa wote ni wachovu and too soft; just look at their faces! Old wine in a new bottle hawana tena strength of character, appetite wala ubavu wa kuhimili mikiki mikiki ya siasa za majukwaani za vijana wa M4C.

Kinana mara astaafu then 2 months on arudi centre stage, njaa au woga?! he is confused hajui kama arudi kismayu au Hargeisa au aendelee kuishi hapa nchini na afanye nini baada ya kutangaza kujiuzulu siasa.


Vuai Vuai: Ana tresses za uamsho ambao hawataki muungano and therefore CCM, Karume anasema wasikilizwe ili CCM ianguke Zanzibar na muungano ufe!

Nape nauye - Debe shinda haliachi kutika; hana jipya.

Nchemba; Jack of all trades, master of nothing except belching out HOT AIR!!

CDM go go go!

Kinana ni jembe, mtake msitake, huyu ni mtu muhimu sana anayetumia ubongo, sio wengine wengi wanaotumia....; Nadhani aliamua kustaafu siasa uchwara, na pengine ile barua iliyojadiliwa humu kuhusu yeye kuachana na siasa uchwara ilikuwa ni ya kweli; Lakini wameamua kumuambia pengine mambo yatabadilika na yeye na mangula watapewa pengine lead towards that; mimi sioni ubaya wa yeye kugeuza kauli hasa iwapo alikuwa anaondokana na uchwara ambao sasa pengine utarekebishwa; tusubiri tuone utendaji wake;

Kuhusu nchemba, huyu wangemuacha pale pale kwenye fedha, huku kwingine ni POLITICAL LIABILITY FOR CCM; Jamani, CCM tunahitaji wapiga kura kutuvusha, sio wanachama wa ccm, na ni wanachama wa ccm tu ndio watashangilia hoja za nchemba kwani wengi wanapenda mipasho; Lakini independent voters? Tujiandae kupoteza hawa; natamani huyo nchemba aje hapa tujadiliane hili kwa hoja tukianza na hoja yangu kwamba sidhani kama anatosha kwenye nafasi ya juu ya chama nyakazi hizi, nape, january, hao sawa, wana mapungufu yao lakini net effect yao ni POSITIVE kwa Chama;
 
Hii ni sekretarieti lakini, sio CC; tulichonacho so far ni wajumbe saba wa sekretarieti ambao automatically wanaingia kwenye CC; Kwahiyo hawa ni wajumbe wa mwanzo wa CC i.e. wajumbe saba kati ya jumla ya wajumbe ishirini, which makes it only one third of the total so far; Ni muhimu tusubiri uteuzi wa wajumbe 13 waliobakia ili tujue ni kina nani, then ndio tuingie katika analysis husika;

Mkuu Mchambuzi, baada ya hao saba kuna hawa waane ambao wako CC by nature
Wanabodi,

Kumekuwa kukitolewa madai mbali mbali kuwa M/Kiti wa CCM ni dhaifu na asieweza kufanya maamuzi magumu!. Baada ya Chama cha Mapinduzi, kukamilisha safu ya uongozi wake, wakiwemo viongozi wote wakuu na secretariat, sasa bado wajumbe 4 kukamilisha roho ya CCM ambayo ndio CC wajumbe 22, wakiwemo 4 by nature, 7 by virtue ya nafasi zao, 3 kwa huruma ya vyeo vyao.

Mpaka sasa wajumbe wa CC ambao tayari ni wajumbe by nature ni hawa wafuatao.
  • M/Kiti -Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
  • M/Kiti Bara-Philip Mangula
  • M/Kiti Znz- Dr. Ali Mohamed Shein
  • Katibu Mkuu-Abrahman Kinana
Wajumbe 5 by virtue ya positions zao ni
  • Spika wa Bunge-Anna Makinda
  • Spika wa BLW- Pande Ameir Kificho
  • M/Vijana
  • M/Kiti Wazazi
  • M/kiti UWT

Wajumbe wa kuteuliwa direct kufuatia kuwemo kwenye sekretariet ni

  • Katibu Organization-Mohamed Seif Khatib
  • Katibu Mahusiano ya Kimataifa- Dr. Asha Rose Migiro
  • Katibu Uchumi na Fedha-Zakhia Megji
  • Katibu Publicity -Nape Mnauye
Hawa wanasubiri huruma ya kuingizwa kutokana na nafasi zao ndani ya chama na serikali
Wajumbe hawa 5 ni

  • Waziri Mkuu -Mizengo Pinda
  • Makamo wa Rais-Dr -Mohomed Gharib Bilali
  • Makamo wa pili wa rais Zanzibar
  • N/Katibu Mkuu Bara-Mwigulu Mchemba
  • N/Katibu Mkuu ZnZ -Vuai Ali Vuai

Kama waliobaki ili kutimiza idadi hii ya wajumbe 22 wa CC ya CCM, inamaana M/Kiti wa CCM na NEC yake, wameshindwa kuwapata Wanne hawa miongoni mwao?!, kwa sababu za umakini katika kuwateua au ni muendelezo tuu wa udhaifu?.

Wamebaki watu 4 muhimu sana CCM ili kukamilisha safu hii. Jee unawafahamu ni kina nani ndani ya safu hiyo?,

Wawili lazima watoke Zanzibar na wawili watoke bara, jee wanne hawa ni wepi?.

Kwa upande wangu naanza na wale presidential probable wa bara na visiwani wakiongozwa na maswahiba wa nanii!.
  • Bernard Membe
  • Shamsi Vua Nahodha
  • Dr. Husein Mwinyi.
  • January Makamba
  • Samia Suluhu Hassan
  • Prof. Mbarawa
  • Prof. Mgimwa
  • Stephen Wasira
  • Edward Lowassa
Jee wewe unadhani wanne hawa ni kina nani?.
 
Chemba lao limepewa mwanya mtaona likavyomwaga maji machafu...
 
Makundi 4619,

Mimi sio kiongozi wa CCM, sina hata ujumbe wa shina, ni mwanachama tu wa CCM lakini utambulisho wangu kwanza ni Utaifa kupitia kadi ya kupiga kura, suala la CCM huja baadae; Ndio maana hata katika uchaguzi wa ubunge 2010 nilimpigia kura Halima Mdee (Chadema) kwani mgombea wetu CCM – Angela Kiziga, sikuona kama alikuwa anatosha kuliko Halima Mdee; Lakini ngazi ya Urais, nilimpigia Kikwete kura yangu hasa kutokana na uelewa wangu kwamba, failure zake kipindi cha 2005 – 2010, zilichangiwa sana na hujuma za watendaji!

Nilianza kuvutiwa na siasa za Dr. Slaa baada ya 2010, ingawa mimi bado ni mwana CCM; Navutiwa sana na siasa zake za kistaarabu, kwani ingekuwa ni mtu mwehu, baada ya 2010 nchi hii isingekalikai; Tunahitaji Kiongozi wa namna hii, na ikifika 2015, iwapo Dr. Slaa atakuwa mzima wa afya, ana kura yangu, au Lissu, unless CCM ije na jina lenye uwezo, na majina hayo yapo ila kwa siasa zetu, so far nadhani yatapigwa tu chini; Na hii inaniingiza kwenye point yangu ya msingi kujibu swali lako kuhusu Kinana na Mangula;

Watu hawa wawili nadhani wameitwa kujakusaidia CCM ipate mgombea anayekubalika na jamii, sio anayekubalika na Chama; Again, kwa mtazamo wangu kama mwanachama, CCM sisi tunaweka sana ushabiki mbele kuliko chochote; Utamaduni wetu umekuwa ni kuheshimu, kusujudia na kutii cheo cha mtu au kiti, hatuangalii au kupima uwezo wa mtu anayeshikilia kiti, tunaangalia zaidi madaraka yake na kumpigia vigele gele kwa wingi tukisindikizwa na nyimbo za Komba; ndio maana viongozi wengi wa CCM wakistaafu tu, wanapoteza mvuto na pia heshima ya wanachama wa ccm, kwani walikuwa wanashabikia kiti (sio mtu), lakini vile vile kitaifa viongozi wengi wakistaafu wanaondoka na heshima zao; Ni mara chache sana kwa CCM kuwa na viongozi bora, wengi ni bora viongozi, na tena ukiwa ni mteule wa Rais au Kipenzi cha cha mwenyekiti, hata kama hauna uwezo, wewe tayari wanachama wanakuona ni mungu mtu; Sasa Mangula na Kinana hawa wakiwa miungu mtu, haitatokana na sababu nyepesi tu kwamba wanapendwa na mwenyekiti, bali umungu mtu huo kama wataupata ni kutokana na track record yao ya utendaji;

Ndio maana Kinana na Mangula ni tofauti bora viongozi ambao nimewajadili hapo juu kwani wakiwa hata nje ya chama umuhimu wao kwa CCM bado unakuwepo; Kwa mtazamo wangu, Kinana, Mangula, wote waliamua kustaafu kutokana na Siasa Uchwara za CCM, lakini wameamua kurudi baada ya kuhakikishiwa kwamba chama kitarudi kwenye mstari na wao watakuwa mstari wa mbele kwenye project ya kufanikisha hilo; Ni sahihi kwa wao kukubali kurudi kwani hawakukimbia chama bali siasa zake uchwara; nadhani wameahidiwa kupewa ushirikiano wa hali na mali ili kufanikisha hii project, vinginevyo sidhani kama wangekubali kwani wanajua wazi kwamba waliondoka au walikuwa waondoke kweney uongozi wakiwa bado wana heshimika, ni kama Kobe Bryant Kustaafu leo, ataondoka akiwa bado yupo juu, na wanajua kwamba bila ya uangalifu, kurudi kiholela holela, heshima yao waliyojijengea over the years ingekuwa eroded right away;

Tukubali tu ukweli kwamba Mwenyekiti ameshindwa kutibu majeraha ndani ya chama na ndio maana ameona awaingize hawa watu; Lakini mimi nina tatizo kidogo juu ya hili na nitarudia tena:

Jimwili hili linaloitwa CCM limefanyiwa marekebisho kwenye kichwa, lakini shingo ambayo ndio hugeuza kichwa kushoto, kulia, juu, chini, shingo ambayo hutikisa kichwa kuitikia ndio au hapana, shingo hii imebakia intact; Licha ya kichwa kufanyiwa marekebisho ya hapa na pale kama vile macho, pua, masikio,n.k, shingo ile ile na bado itaendelea kugeuza kichwa kwa jinsi inavyotaka, na nadhani tunajua shingo ni kina nani katika muktadha huu; Changamoto kubwa ya Kinana na Mangula ni kukabilianana shingo hii, na nadhani aidha hawakulitazama hilo, au wameona ni jambo rahisi kulirekebisha, we don’t know, time will tell;

Vinginevyo kuhusu uteuzi wa Kinana na Mangula, Kikwete has done the right thing, lakini sina uhakika kama he has done things right kwani maneno yake kwenye hotuba ya ufunguzi juzi Dodoma kidogo yalinishtua – pale aliposema kwamba tatizo la CCM ni makundi kugombea Urais, nje ya hapo, Chama hakina tatizo lingine lolote ambalo ni kubwa; Mimi naamini CCM ina matatizo makubwa zaidi ya haya makundi kwani inakabiliwa na ombwe la itikadi, haina dira, imesaliti historia yake (ya TANU), na azimio la Zanzibar lililouwa azimio la Arusha mwaka 1992 limefungulia mlango wa SOKO HURIA HOLELA & UFISADI kwani mpaka leo, CCM kama chama hakina sheria au kanuni yoyote yenye meno kudhibiti mapungufu ya soko huria ambayo yanazidi kuumiza wananchi, au mapungufu ya azimio la zanzibar ambalo linatoa mianya kwa viongozi kufisadi nchi; Ni kama vile CCM imeamua kuachia kanuni ya laissez-faire itawale katika kila kitu ndani ya nchi yetu;
 
Pasco,

Bandiko lako namba 54 ni very interesting; nitakurudia;
 
binafsi nami pia sikubaliani kabisa na Nchemba,tatizo la CCM kiongozi ambaye si makini hupendwa sana na wakubwa zake kwa nafasi hiyo kwa kweli hastahili hata kidogo,mfano wa vijana makini ni kama Januar Makamba.ukweli Makamba junior na Nchemba ni kama mbingu na ardhi yaani hawafanani hata kidogo,ni kweli nchemba sasa ni chukizo sana mbele ya vijana wenzake hata ndani ya ccm,tofauti kabisa na makamba anungwa mkono na vijana wengi ndani na nje ya ccm,kuhusu lowasa ni kweli ni mapema mno kukjadili kwa secretareti hii,ila tu lowasa ni jembe na ni kiongozi mzuri maana tofauti na tuhuma za rushwa ambazo hakuna mtu wala chombo chochote cha uchunguzi kinachothibitisha tuhuma hizi,kwa hiyo ni uzushi na fitina za kisiasa,kiongozi hupimwa ubunifu na uhodari wa kazi alizokwisha fanya tena za kizarendo kabisa angalia kipindi yuko wizara ya maji kama waziri alichukua maamuzi magumu ya kuvunja mkataba wa iliyokuwa city water na serikali ikashinda kesi hiyo iliposhitakwa,sehemum kama shinyanga maswa,sasa tatizo la maji ni historia,angalia jinsi alivyoshughulikia ujenzi wa shule za kata nchi nzima na angekuwepo hadi leo kwa kasi ile zingekuwa ni kimbilio na tegemeo kwa wengi hasa wanyonge nao wengeweza kupata elimu bora
 
Mkuu Mchambuzi, baada ya hao saba kuna hawa waane ambao wako CC by nature
Wanabodi,

Kumekuwa kukitolewa madai mbali mbali kuwa M/Kiti wa CCM ni dhaifu na asieweza kufanya maamuzi magumu!. Baada ya Chama cha Mapinduzi, kukamilisha safu ya uongozi wake, wakiwemo viongozi wote wakuu na secretariat, sasa bado wajumbe 4 kukamilisha roho ya CCM ambayo ndio CC wajumbe 22, wakiwemo 4 by nature, 7 by virtue ya nafasi zao, 3 kwa huruma ya vyeo vyao.

Mpaka sasa wajumbe wa CC ambao tayari ni wajumbe by nature ni hawa wafuatao.
  • M/Kiti -Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
  • M/Kiti Bara-Philip Mangula
  • M/Kiti Znz- Dr. Ali Mohamed Shein
  • Katibu Mkuu-Abrahman Kinana
Wajumbe 5 by virtue ya positions zao ni
  • Spika wa Bunge-Anna Makinda
  • Spika wa BLW- Pande Ameir Kificho
  • M/Vijana
  • M/Kiti Wazazi
  • M/kiti UWT

Wajumbe wa kuteuliwa direct kufuatia kuwemo kwenye sekretariet ni

  • Katibu Organization-Mohamed Seif Khatib
  • Katibu Mahusiano ya Kimataifa- Dr. Asha Rose Migiro
  • Katibu Uchumi na Fedha-Zakhia Megji
  • Katibu Publicity -Nape Mnauye
Hawa wanasubiri huruma ya kuingizwa kutokana na nafasi zao ndani ya chama na serikali
Wajumbe hawa 5 ni

  • Waziri Mkuu -Mizengo Pinda
  • Makamo wa Rais-Dr -Mohomed Gharib Bilali
  • Makamo wa pili wa rais Zanzibar
  • N/Katibu Mkuu Bara-Mwigulu Mchemba
  • N/Katibu Mkuu ZnZ -Vuai Ali Vuai

Kama waliobaki ili kutimiza idadi hii ya wajumbe 22 wa CC ya CCM, inamaana M/Kiti wa CCM na NEC yake, wameshindwa kuwapata Wanne hawa miongoni mwao?!, kwa sababu za umakini katika kuwateua au ni muendelezo tuu wa udhaifu?.

Wamebaki watu 4 muhimu sana CCM ili kukamilisha safu hii. Jee unawafahamu ni kina nani ndani ya safu hiyo?,

Wawili lazima watoke Zanzibar na wawili watoke bara, jee wanne hawa ni wepi?.

Kwa upande wangu naanza na wale presidential probable wa bara na visiwani wakiongozwa na maswahiba wa nanii!.
  • Bernard Membe
  • Shamsi Vua Nahodha
  • Dr. Husein Mwinyi.
  • January Makamba
  • Samia Suluhu Hassan
  • Prof. Mbarawa
  • Prof. Mgimwa
  • Stephen Wasira
  • Edward Lowassa
Jee wewe unadhani wanne hawa ni kina nani?.

Kwa kweli sina taarifa yoyote juu ya hili, akini iwapo ni suala la kuotea KWA HOJA, nitachagua hawa:

Upande wa Zanzibar:


  • Samia Suluhu Hassan – Kwa sababu ni Mwanamke so inaleta gender balance ndani ya kamati kuu; Pia ana ukaribu na mwenyekiti kikazi kwa muda mrefu;
  • Dr. Hussein Mwinyi – Yeye pia ana ukaribu wa muda mrefu na mwenyekiti kikazi pengine kuliko wengine wote waliobakia kutoka Zanzibar;

Kama Mbarawa angekuwa hayupo Wizara moja na January, Mbarawa pia angeweza upenya katika hili, lakini kwa sasa sidhani; Vinginevyo, NAOTEA kwamba hawa wawili watatokea Zanzibar;

Upande wa Bara:


  • January Makamba – Kwa sababu ni kijana so italeta generational balance zaidi ndani ya kamati kuu; Pia kura zake nyingi katika nafasi zile kumi za NEC lazima zipewe heshima ya nafasi hiyo;


  • Stephen Wassira – Huyu ni kutokana na kuwa mshindi kwa kura nyingi kuliko wote kwenye zile nafasi kumi za NEC, lakini vile vile amekuwa nguzo muhimu katika Kutetea chama na pia kutetea kiti katika nyakazi mbalimbali;

Kuna sababu nyingine nyingi kwanini utabiri wangu ni hawa wanne, lakini kwa haraka haraka, hizi ndio sababu za msingi kwa mtazamo wangu;

Again, hii ni PURE GUESS, na inaweza kuwa way OFF;
 
Back
Top Bottom