Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,484
- 2,892
Usisahau ujio wa Twiga Corporation kwa serikali kuwa mwanahisa kwa 16% na kuwa sehemu ya bodi.Kiukweli hayati Magufuli tutamkumbuka milele
1. SGR
2. Bwawa la Nyerere
3. Treni ya Moshi
4. Meli
5. Ndege
6. Barabara
7. Wabunge wa Chadema waliounga juhudi
8. Uwanja wa ndege Chato
9. Uwanja wa ndege Nduli Iringa
10. Soko la Ndugai
11. Stendi ya Magufuli mbezi
12. Nk....nk
RIP JPM
VITAMBULISHO VYA MACHINGA13. Dar terminal 3
14. Tanzanite bridge
15. JPM bridge
Nk, nk, nk
RIP JPM, shujaa wetu tutakukumbuka daima [emoji123][emoji123]
😁😁😁😁😁😁Unazidi kuzeeka tu teuzi zinazidi kukupita
Kwa mtu aliyezaliwa 80s ni sawa lkn kwa wahenga hajagusa hata robo ya NyerereKiukweli hayati Magufuli tutamkumbuka milele
1. SGR
2. Bwawa la Nyerere
3. Treni ya Moshi
4. Meli
5. Ndege
6. Barabara
7. Wabunge wa Chadema waliounga juhudi
8. Uwanja wa ndege Chato
9. Uwanja wa ndege Nduli Iringa
10. Soko la Ndugai
11. Stendi ya Magufuli mbezi
12. Nk....nk
RIP JPM
Mhudumu wa CCM KatoroHii ndio shida ya kuamkia kiporo cha makande, utakuwa umevimbiwa wewe kapate double kick ukae sawa.
Mzimu wa dikteta ni balaa ndiyo maana Makonda hakamatikiSiku zinakaribia naona mnazidi kupata wazimu tu mpaka ikifika tarehe 17 wengi tutapeleka milembe.
Umeshafika Machame kudeki barabara!Mhudumu wa CCM Katoro
Oops!!! Nchi Ngumu SanaOngeza na Tundu lissu
Akwilina
Mo
Azory
Ben saanane
UGAIDI KESI ya Mbowe
Naona kwaresima hii mtasembua kaburi la MAREHEMU JIWE Ili mpate uteuzi kama wa polepoleNaunga mkono hoja
P
Na Bado hata Kazi ya ulinzi wa kaburi la JIWE hapewi huyo mbwigaUnazidi kuzeeka tu teuzi zinazidi kukupita
Mauaji ya wapinzan?Hii ndio shida ya kuamkia kiporo cha makande, utakuwa umevimbiwa wewe kapate double kick ukae sawa.
Hospitali ya rufaa kanda ya kusini, Mitengo - Mtwara.VITAMBULISHO VYA MACHINGA
Pamoja na madhaifu yake ya kibinadamu, ambayo sisi sote tunayo, Magufuli alikuwa level nyingine kabisa ktk jitihada za kulitetea taifa letu na kulitumikia ili kupata maendeleo.Mwendokasi Kariakoo to Mbagala
Mfugale Flyover
Kijazi Interchange
Hospitali ya Uhuru - Dodoma
Hospitali ya Kumbukumbu ya Mwl. JKN - Mara
Hospitali ya Kanda ya Kusini - Mtwara
Machinjio ya Vingunguti - Dar
Kota za Magereza Ukonga - Dar
Soko la Magomeni - Dar
Magorofa ya Magomeni Kota - Dar
Soko la Chief Kingalu - Morogolo
Mkuu, ina maana hujui kuwa reli ya Moshi ilikuwa haifanyi kazi kwa zaidi ya robo karne?Hapo no 3 hiyo treni ya Moshi aliifanyaje maana hata treni yenyewe jina lake kwa kiswahili sanifu ni Gari Moshi. Treni ya kwanza nchini ilijengwa na Mjerumani toka Tanga kwenda Moshi
Kwa mtu aliyezaliwa 80s ni sawa lkn kwa wahenga hajagusa hata robo ya Nyerere
6years v/s 1yearKufufua MSCL
Kuanzisha TASAC & LATRA
Kufufua TTCL
Kufuatilia hisa za serikali Airtel
Usimikaji wa rada
Kufufua ATCL
Kubadilisha mikataba ya madini
Upanuzi wa barabara ya Morocco Mwenge & Kimara Kibaha
Stendi ya Nyegezi & Nyamuhongolo - Mwanza
Uanzishaji wa mbuga ya Chato Burigi
Hakukuwa na ujangili
Ujenzi wa gati na panuzi wa bandari katika bandari za Dar, Tanga, Mtwara, Mafia, na nk
Ujenzi wa meli
Daraja jipya la mto wami