charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,001
unitafute....
Ah kwa kweliii inabidii
unitafute....
Ah kwa kweliii inabidii
ahaaaa nick name nyingi sana mtu hata umjui dada yako bwana kwanini tusitumie majina yetu halisiWewe oooooohh kabanga anasema umtafute na wewe kirahisi unakubali angalia.
Mkikutana uso kwa uso ni kuombana samahani tu.
Usipotongozwa humu itakuwaje wakati masaa yote tupo humu humu.
kutongoza ni kawaida. Nikikutana na dada tutayamaliza kwa kuombana msamaha yanaisha.
Hiyo avatar yako ni wewe mwenywe au"?
Ni mimi mkuu
hongera umetokelezeaje?
uwe na siku njema