Hans Poppe:" Yanga wamekataa kunywa supu ya mawe"

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,876
7,366
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya simba hans poppe amesema waliwaandalia yanga supu ya mawe na kachumbali ya miiba lakini lakini watani zao hao wamekataa kunywa na kula. poppe" yanga wana kila sababu ya kuikaa kuinywa supu tuliowandalia maana uko nyuma wameinywa sana sasa tunakutana nao raundi ya pili"
 
Soka la bongo ni takataka tupu sasa kiongozi alitakiwa angalau aongelee wapi walikosea na kama walizidiwa ni kwenye eneo gani na wanajipangaje kwa mechi zijazo ila kaja ujinga wa supu duh waliopewa dhamana na soka letu ni watu wa ovyo,acha nikalipie DSTV hata wakipandisha bei hakuna namna wazenzetu mafundi.
 
Huyo jamaa mimi nashindwa kumuelewa!
Yeye ndio anasimamia suala la Usajiri atuambie kwanini tulimuacha Tambwe???
Na sasa sisi hatuna striker kabisa!
Ukiangalia shuti alizopiga Tambwe ile juzi kuelekea golini kwetu zote zina akili kulinganisha na vishuti walivyopiga striker wetu!!
 
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya simba hans poppe amesema waliwaandalia yanga supu ya mawe na kachumbali ya miiba lakini lakini watani zao hao wamekataa kunywa na kula. poppe" yanga wana kila sababu ya kuikaa kuinywa supu tuliowandalia maana uko nyuma wameinywa sana sasa tunakutana nao raundi ya pili"

Huyu MUHUJUMU Uchumi Na MFUNGWA Wa Zamani Japo Ni Mwana Simba Sports Club Mwenzangu Lakini NIMEMKINAI Tangia Nimwone Wiki Iliyoisha AKITOA MSAADA Wa HELA Kwa Kumchangia FISADI Lowassa. Nimemdharau Mno Kwani Nilijua Kuwa Mtu AKIWA Na PESA Nyingi Basi Hata UPEO Wake Nao Unakuwa MKUBWA Kumbe Ni Kinyume.
 
Huyu MUHUJUMU Uchumi Na MFUNGWA Wa Zamani Japo Ni Mwana Simba Sports Club Mwenzangu Lakini NIMEMKINAI Tangia Nimwone Wiki Iliyoisha AKITOA MSAADA Wa HELA Kwa Kumchangia FISADI Lowassa. Nimemdharau Mno Kwani Nilijua Kuwa Mtu AKIWA Na PESA Nyingi Basi Hata UPEO Wake Nao Unakuwa MKUBWA Kumbe Ni Kinyume.

mimi si mfuasi wa Simba lakini kitendo cha kumuona Hanspope akichangia harakati za mabadiliko dhidi ya mkoloni mweusi kimenifanya nianze kufikiria kuishabikia Simba.
 
Huyu MUHUJUMU Uchumi Na MFUNGWA Wa Zamani Japo Ni Mwana Simba Sports Club Mwenzangu Lakini NIMEMKINAI Tangia Nimwone Wiki Iliyoisha AKITOA MSAADA Wa HELA Kwa Kumchangia FISADI Lowassa. Nimemdharau Mno Kwani Nilijua Kuwa Mtu AKIWA Na PESA Nyingi Basi Hata UPEO Wake Nao Unakuwa MKUBWA Kumbe Ni Kinyume.

Mkuu mimi si mwepesi wa kuunga mkono hoja yoyote inayotolewa na shabiki wa Simba, kwa hili nakuunga mkono 100%.
 
mimi si mfuasi wa Simba lakini kitendo cha kumuona Hanspope akichangia harakati za mabadiliko dhidi ya mkoloni mweusi kimenifanya nianze kufikiria kuishabikia Simba.

Msio wana michezo tunawashauri bakini huko huko kwenye majukwaa ya kisiasa.
 
Soka la bongo ni takataka tupu sasa kiongozi alitakiwa angalau aongelee wapi walikosea na kama walizidiwa ni kwenye eneo gani na wanajipangaje kwa mechi zijazo ila kaja ujinga wa supu duh waliopewa dhamana na soka letu ni watu wa ovyo,acha nikalipie DSTV hata wakipandisha bei hakuna namna wazenzetu mafundi.

Mkuu inategemea aina ya mashabiki. Mikia fc huburudishwa na mipasho zaidi, na ndio maana Rage akawaita mambumbumbu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom