brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,876
- 7,366
Mwenyekiti wa kamati ya usajili ya klabu ya simba hans poppe amesema waliwaandalia yanga supu ya mawe na kachumbali ya miiba lakini lakini watani zao hao wamekataa kunywa na kula. poppe" yanga wana kila sababu ya kuikaa kuinywa supu tuliowandalia maana uko nyuma wameinywa sana sasa tunakutana nao raundi ya pili"