kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,092
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii
Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5
#KishambaUPDATES
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii
Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5
#KishambaUPDATES
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app