Jumapili ya supu jangwani

kilwakivinje

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
6,002
9,092
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii

Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5

#KishambaUPDATES
20231109_125647.jpg


Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
 
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii

Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5

#KishambaUPDATESView attachment 2808677

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Tengezeni jezi/flana za 5G muuze kuinua uchumi wa club, sio kufikilia supu tu
 
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii

Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5

#KishambaUPDATESView attachment 2808677

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Hatukosi hapo.
 
Klabu ya Soka ya Yanga Sc, imeandaa sherehe fupi ya kuburudika na mashabiki wa Klabu hiyo kwa kunywa supu makao makuu ya Klabu hiyo yalioko Kariakoo mtaa wa Jangwani

Akizungumza na waandishi wa Habari Afisa Habari wa Yanga Sc Ally Shabani Kamwe, amesema kuwa wameandaa hafla hiyo fupi kwa lengo la kupata burudani ya pamoja na mashabiki wao siku ya jumapili ya wiki hii

Kama itakumbukwa mapema wiki iliyopita kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, Chama Cha Mapinduzi kupitia kwa Katibu Mwenezi wa NEC Mh. Paul Makonda, kilitoa ahadi ya kununua kila goli litakalofungwa katika mchezo huo kwa timu itayoshinda mchezo ambapo Yanga aliibuka na ushindi wa goli 1-5

#KishambaUPDATESView attachment 2808677

Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
Alisema kila goli shs ngapi?
 
Back
Top Bottom