Unagusa penye mshono 🤷♀️🙆♀️Dogo anapeleka moto wa uhakika mara nne zaidi yakoo. JIONGEZE Mkuu ila usimtimue dogo mkeo
ATANUNA.
ze keke, hakika umeolewa, Tena wewe ni raia daraja la tatu ndani ya nyumba yako mwenyewe.MKE WANGU kaanza tabia nkitoka kazini ananiambia nkajipakulie jikoni. Muda huo anamjali Sana mdogo wangu wa kiume kiasi hata wakati mwingine anasema chakula kimeisha nkienda kumpa hi mdogo wangu nakuta msosi wa kutosha
Unagusa penye mshono 🤷♀️🙆♀️
Achana na damu changa. Wife amekua confusedUjinga wa kuruhusu madogo wamzoee mukeo, ameshatafunwa huyo
Wanakula hadi makombo, wakipanda hawashuki hadi ukimaliza waumwa mbavuAchana na damu changa. Wife amekua confused
Chamaki nchanga hana mpinzaniWanakula hadi makombo, wakipanda hawashuki hadi ukimaliza waumwa mbavu
Anatupa fursa halafu tushindwe kuitumia? Mimi jamaa yangu alimuambia mukewe kuwa hataki House girl ni kuongeza tu cost, muwife ikashupaza shingo, akaleta muhousegirl mzuri sana.Jana kazini kuna dada alitupa mkasa wake. Alipigiwa simu na old schoolmate, alimuomba amuekekeze kwake. Alipofika mkasa wake hana kazi, hana pakulala ameachika kwa mume. Aliamua kumstiri.
Mume wake ametoka kazini alimueleza kuwa tuna mgeni na wala sijui ataondoka lini. Mgeni alipata kazi ya kuuza duka, mume wake alimwambia muache akapangishe chumba aanze maisha yake. Yule dada alimuonea huruma maisha kwenye chumba cha kupanga wakati yeye ana nyumba kubwa tu.
Mpaka siku alipowakuta kitandani mume wake na rafiki yake. Ni yeye ndiye aliondoka nyumbani kwa hasira.
Dogo ni utingo, kaka ni dereva. Dereva akichelewa utingo anaokoa muda.Dogo yuko hapo kwa sababu zipi ?
1)Anasoma
2)Anasubir kazi au anafanya kazi
3)Hana kazi
Usije kuta unaenda job unamuacha dogo na mkeo wanakamuana tu , kama ana job mlipie kodi ya mwanzo aanze maisha bora kumuhudumia akiwa mbali.