Hana hisia kabisa na mke wake wa ndoa

Naanzajeanzaje hata out yenyewe hiyo? Aisee,mnachukulia simple sana

Nimeolewa mkuu
Naamini ipo siku utaanza kufurahia sana ndoa yako hiyo maana kwa sasa kwa maelezo yako baadhi humu jamii forums yaonekana unapitia changamoto kubwa.

Imani yangu ni hiyo ni kwasababu kwa maelezo yako yanakutafsiri upo halisia sana
 
Mwambie abadili mtazamo, kuwa ametafutiwa mke lipo akilin mwake. Nicheki dm nione jinsi ya kumsaidia. Tatizo lake lipo ktk mtazamo. Mimi ni mshauri nasaha
 
Akubaliane tu na hali ajifunze kuwa karibu sana na Mke wake hii itasaidia kuondoa hiyo changamoto.
 
Jamaa kaishasema hapo juu. Hilo ni jini mahaba. Na ushahidi wake ni jamaa kuota ndoto akilala na mwanamke mwingine.

Mwambie atafute mtumishi wa Mungu amwombee. Lakini pia afunge kwa siku tatu bila kula na aombe.

Yote yatakuwa historia.
 
Naamini ipo siku utaanza kufurahia sana ndoa yako hiyo maana kwa sasa kwa maelezo yako baadhi humu jamii forums yaonekana unapitia changamoto kubwa.

Imani yangu ni hiyo ni kwasababu kwa maelezo yako yanakutafsiri upo halisia sana
Ndo ukweli halisi mkuu
 
Kwahiyo utachukua post zote umpatie azipitie au utamsimulia jinsi tulivyomshauri?
Kwani alishikiwa bunduki wakati wa kufunga ndoa?.
Huyo unayetaka akusababishie furaha angalie usije ukaonjeshwa furaha ya muda mfupi kisha ukala msoto daima.
kama anakupenda na hachepuki hapo sioni tatizo.
 
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.

Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.

Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.

Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.

Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.

Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.

Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.

Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.

Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.

Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.

Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.

Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.

Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.

Nawasilisha......
hapo amechanganya mambo mawili hilo sijui siyo chaguo lake na hayo mambo yakuota usiku kalala na mwanamke mwingine ni dalili jamaa ana majini tena jini mahaba hata akioa wa chaguo lake yatatokea hayo hayo kwakuwa ni muislam afike kwanza kwa viongozi wake wa dini watamtatulia tatizo angekuwa mkristo ningesema aende kwenye makanisa ya maombezi hiyo ni kazi ndogo sana na jini likondolewa atarudisha mapenzi kwa mke wake
 
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.

Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.

Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.

Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.

Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.

Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.

Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.

Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.

Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.

Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.

Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.

Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.

Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.

Nawasilisha......
Jini Mahaba.
Anahitaji Maombezi.
 
Ni kheri kuishi na akupendae kama huyo ndugu yako, kuliko kuishi na mtu ambae yeye hakupendi na wewe unampenda.

Anajitaftia matatizo tu kumuacha huyo mwanamke, kama anampenda, ana tabia njema na anamjali ajifunze kumpenda taratibu kwa hayo mazuri yake machache.
Ushauri murua kabisa huu.
 
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.

Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.

Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo
Huenda akawa na shetan wewe ao huyo mwanamke linamchafua,Ao kinyume chake ww kama una mambo yale ya ujana achana nayo..
Maana vijana wengi anapoingia kwenye ndoa huendeleza uzinifu na wanawake wa pembeni hili huchangia sana kumchukia mkeo wa ndani kumuona wakawaida kutokana na kupata radha tofauti na mkeo....!

Kama huyo anakusokiliza sivyema kumwacha utakuja kuleta mwingine wewe umezama yy hana habari hapo subiri mateso
 
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.

Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.

Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.

Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.

Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.

Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.

Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.

Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.

Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.

Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.

Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.

Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.

Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.

Nawasilisha......

Muache kwanza amtimue huyo. Atakapooa mke wa jamii ndo atajua uzuri wa mke mtulivu. Kuna wakati tunakaa na kuangalia future zaidi.

Familia inasimamiwa na wanawake, sisi wanaume hiyo kazi hatuiwezi na karne hii, ukimpata mwanamke anaeleweka ni suala la kushukuru. Huyo ndugu yako atapata faraha ya muda mfupi tu akimtimua na kumchukua mwingine ila baadae atamtamani huyu wa sasa.
 
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.

Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
The same na mimi,ila mie nimeamua kuikubali hii hali na hatushirikiani kwa lolote lile.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom