TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,974
- 15,310
alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Mi mbona naona kama tatizo liko hapa? Kwamba jamaa alitafutiwa huyo mke na ndugu zake na sio kwamba jamaa mwenyewe ndio alimpenda huyo mke?