scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
Habari za mda huu wana jamvi ameniomba nifikishe uzi huu yaezekana akapata suruhisho au ushauri kutoka kwetu kwani hili ni jukwaa muhimu sana katika hili.
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.
Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.
Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.
Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.
Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.
Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.
Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.
Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.
Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.
Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.
Nawasilisha......
Ni mtoto wa mjomba angu ambae ni wakiume.
Kutokana na ukaribu wangu nae haswa katika kumshaur mambo mbali mbali katika maisha toka bado anasoma mpaka amepata ajira na sasa yupo katika ndoa.
Kutokana na hili basi aliamua kunifikishia suala hili ambalo kwa haswa ni la kifamilia.
Mwanzoni mwa mwezi wa kumi na moja mwaka jana alifunga ndoa na binti mdogo ambaye alifanyiwa connection na ndugu zake.
Baada ya ndoa ndugu yangu huyu amekuwa na upendo wa kawaida sana kwa mke wake kwani amejitahidi hata kutengeneza mazingira ya kudumisha upendo lakini hali bado ni ile ile.
Anadai imefikia kipindi mpaka hafurahii kuwa nyumbani na hata mke wake akihitaji sex yeye anaona kama ni usumbufu.
Imefikia kipindi hadi kwenye ndoto anaota amelala na mtu mwingine ambae sio mke wake na hata kufikia wakati mpaka moyoni anajisemea haswa huyu sio mke niliyemtaka mimi kwani.
Anasema mefikia kipindi mpaka nawaza kumuacha mke wangu na hata sifurahii tendo la ndoa bali nafanya kumlidhisha mke wangu.
Hivi juzi niliota ninamfanyia mpango mke wangu aolewe na mtu mwingine. Na hata ninashindwa kukaa na raha niwapo nyumbani na mke wangu kwani bado naona sio chaguo sahihi kwangu anasema.
Nimeshawazia mengi sana kuhusu hii ndoa yangu. Anasema pia upande wa mke wake yeye anampenda kwa dhati na kutimiza majukumu yote kama mama wa nyumbani na haswa kuhakikisha mme wake anakuwa na furaha mda wote.
Ndoa ndo bado changa hawana hata mtoto na sasa ndg angu anawaza kumuacha mke wake huyu ili atafute chaguo lake.
Naomba tumshauri kwa kina na sio matusi wala kejeli tulitendee haki jukwaa hili kwa ndg yetu huyu.
Nawasilisha......