Fafanua!.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
Kwa hiyo wewe uko wapi hapo kwenye hizo bluu
kweli kabisa na ni mwiko katika mapenzi kuweka silaha chini ukadhania mapigano yamemalizika......MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
afanyeje wakati ni system at work?toa suluhisho sasa kama kumejaa unafiki na uzandiki, mbona bado upo??????
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
Fafanua!
afanyeje wakati ni system at work?
so unakataa kuwa hamna uzandiki na unafiki? dear kuwa mkweli
Kwa hiyo wewe uko wapi hapo kwenye hizo bluu
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
Hapa nahisi tunahitaji msaada wa Mngoni..
Nina shaka na yeye, nadhani hana jinsia yoyote kati ya hizo mbili.
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..
HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.[/QUOTE]
Punguna munkari mkuu.