Hamna ....mapenzi...siku hizi....

Kowan

Member
Mar 15, 2011
62
1
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
Fafanua!
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.

Kwa hiyo wewe uko wapi hapo kwenye hizo bluu
 
daahhh
alie kuudhi leo
embu mleta hapa
nimchape kidogo mmhh..

dahhh
yaani kakufanya mpaka
ujitukane mwenyewe duuhh
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.
kweli kabisa na ni mwiko katika mapenzi kuweka silaha chini ukadhania mapigano yamemalizika.
 
toa suluhisho sasa kama kumejaa unafiki na uzandiki, mbona bado upo??????
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.





Hapa nahisi tunahitaji msaada wa Mngoni..
 
afanyeje wakati ni system at work?
so unakataa kuwa hamna uzandiki na unafiki? dear kuwa mkweli

Dear unajua tatizo la mtu ni vile anavolichukulia kuwa ni tatizo, haya ndiyp maisha tuliyonayo, huwezi kuyakwepa, iwe ni ofisini au majumbani tulikopanga hakuna penye afadhali, na biblia inasema hivi kila palipo na dhihirisho la watu 10 hapo lazima pepo mchafu yupo.

hata kama tukikwazana ukinatungia thread mpya, mm hainijalishi, hainitishi, wala hainibabaishi kwa kuwa hakuna mwanadamu anayeweza kukufurahisha hata siku moja!!! cha msingi mtu atizame maisha yake na Mungu wake tu, inatosha.
 
Thread kama hizi huwa zinaudhi sana mtu anaanzisha kuwatega watu halafu anaingia mitini watu wasipochangia kelele kibao
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.


Nina shaka na yeye, nadhani hana jinsia yoyote kati ya hizo mbili.
 
.....MAPENZI YAMEJAA UNAFIKI....
.....wanawake wamejaa pepo la mali,fedha,starehe,anasa,nk
.....wanaume wamejaa pepo la tamaaa(kupenda vi teen age),vileo,ufisadi na rushwa ili kutimiza haja za mwanamke mwizi..

HABARI NDIO HIYO.... HATA HAPA JF TUMEJAA UNAFKI TU.[/QUOTE]
Punguna munkari mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom