Yared Nestory
Member
- Aug 31, 2011
- 11
- 4
Naitwa Yared, nakuja kujiunga nanyi hasa katika harakati za mapambano ya kuliendeleza na kulikomboa taifa letu mikononi mwa wahuni/
Naomba ushirikiano wenu.
Naomba ushirikiano wenu.
Karibu sana JF,soma na ufuate kanuni za humu ndani.
Nani hao??wahuni wa Benghazi sasa hivi wameshafika Tz?
Karibu sana Yared jamvini...Naitwa Yared, nakuja kujiunga nanyi hasa katika harakati za mapambano ya kuliendeleza na kulikomboa taifa letu mikononi mwa wahuni/<br />
Naomba ushirikiano wenu.
<br />pumbaff! nani muhuni? unakuja na jazba angalia usije toka kama ulivyoingia.
<br /><br />pumbaff! nani muhuni? unakuja na jazba angalia usije toka kama ulivyoingia.