warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,380
- Thread starter
- #21
Hiyo statement hata mimi ilinishangaza sana. Ningekuwa karibu yake ningemzaba mabao ili aamke kwenye usingizi wa kiherehere na kujipendekeza. Hawa ndo wanaompa diamond bichwa ili azidi kuwadharirisha
Yan hamisa na alivyokua mzuri sijui kwa nn anamng’ang’ania domo Na ana uwezo wa kupata wanaume wenye mafanikio kumzid domo, kashadanga sana sasa hiv inabid atafute mwanaume wa kumuoa ni mama tayr, sasa yeye anajiringanisha na kina Tunda wakat soon ataitwa bibi