KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,150
Aaah no...
Leta picha yake bila wigi, make up na camera360
Umeongea kweli, bila hayo makitu,beki tatu wangu ni mzuri zaidi
Aaah no...
Leta picha yake bila wigi, make up na camera360
Nyie mnaangalia chura tatzoHaya huyo Hamisa na huyu Sanchoka nani mkali?View attachment 405897
Bado mzuri tuu... Nyie mnamponds kisa hana churahaya ushaekewa huyo without a makeup and 360 camera. huo udoll uwapi? mmmxxiiieeww.
Tuma picha ya huyo beki 3Umeongea kweli, bila hayo makitu,beki tatu wangu ni mzuri zaidi
sizitaki mbichi hiziNi mzuri ila hana MVUTO
Yaani kapooza kama KIPOLO cha
WALI MLENDA
Alafu shushia na TOGWA.
Ana mimba?Tanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895
weka na yako tuone then "tukompee"
Ni mzuri sana huyu mdada,nilishamkutaga somewhere,ila tu kama yanayosemwa ni kweli anajishusha hadhi
hata wewe hapo bila make up hakuna mwanaume angekupa hata salamu
Hao watoto wenyewe washavaaa ndalaTanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895
Utakua dem wewe.. Acha wivu
weka picha yako ukiwa hauna make up tukuone acha uongoHa! Mbona sioaki make up kabisa na nawablock kila siku kwa usumbufu nikieka make up itabidi nitafute assistant wa kuniblokia wanaume.
Umemwona alicia keys anavaa make up siku hizi, u can tell bila make up kawa mzuri zaidi, dont tell me huyu hamisa mzuri wakati ana kilo kumi za make up usoni ....aje bila hayo matakataka tumpe marks halali
weka picha yako ukiwa hauna make up tukuone acha uongo
Huo mchupi upo kama wa Umagga wa WWE.Tanzania wapo wanawake wazuri zaidi yake. Kuna huyo mmoja anakuja juu mno ktk fani ya model. Anaitwa Sanchoka. Huyo at least amekamilika kila idara. Yupo instagram na facebook huyo mdada. Mtazame ktk hii picha halafu uniambie.View attachment 405895