Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,372
- 12,479
Weka picha yakoWa kawaida sana
Weka picha yakoWa kawaida sana
Ebu weka na yako wakuonehaya ushaekewa huyo without a makeup and 360 camera. huo udoll uwapi? mmmxxiiieeww.
hahaha. hii mada ilikua kuhusu udoll wangu au wa huyo hamisa?Ebu weka na yako wakuone
hata wewe hapo bila make up hakuna mwanaume angekupa hata salamuAaah no...
Leta picha yake bila wigi, make up na camera360
.......mkorogo..............!!!!!!!!!!!!!Mtoto mzuri sana huyu,. Tanzania hii sijaona aisee kama kafilipinoView attachment 405855
kuna picha yake moja kabla hajajichubua ukiiona ile hutamtamani.hata mkeo anaeshinda na dera kutwa mzuri.kujichubua+camera 360 kunakuchanganya tuHebu mtu apandishe photo ambayo hajaji dolisha tumwo e
Huyo totoz nilimuona Mlimani city ni sheeda! Amejengeka kila idara..Wadau huyu mtoto Sanchoka ni tishio. Muda si mrf atakuja kuwa video queen hatari hapa Bongo. View attachment 405928
ha ha ha aa ha ,sawa sawa nakuamini kiongozi ,ulinichukulia hatua mimi mpaka leo nimetulia tuli sijaleta tena thread za Tunda bado huyo sasaHuyu nmemuwekea kumbukumbu ili akileta thread nyingine tena kumuhusu mobeto, nitamchukulia hatua kali za kinidhamu
endelea kumuita shemeji kama huna hela mkuuDAAH NAMPENDA HUYU DADA ILA SINA KITU NA SIJUI NAMPATAJE ILA MPENDA SANA SANA.
Wacha wakandie.. Kutaka kujua tuu shughul ya tunda ikawa shidaHaya sasa muvi inaendelea ngoja wadau waje wakukandie kama walivyokuwa wananikandia mimi kwa tunda
Hapa kazi tuu..huyu mtoto balaa hana tumbo kubwa kama madem zetu wa mtaankazi kweli
Utakua dem wewe.. Acha wivuWa kawaida sana