Hamis Tabasamu: Kila siku Milioni 168 zinaliwa kwa muda wa miaka 6, Kampuni ya GFI yahusika

Hili ndio tatizo la vijitu viswahili. Umesha program akili yako ili usikie unayotaka kusikia tu hata kama ni uongo.

GFI ni kampuni ya Israel, na iko nchi kibao. Hata sasa hivi bado wanafanya kazi Zanzibar. Mimi nahusikaje ?

Kwanza ukitaka kujua huu ni upumbavu, GFI walikuwa wanapewa tender na EWURA lakini cha kushangaza tangu huu upuuzi uanze kutajwa, EWURA hawazungumzwi kabisa na wao wako kimya utafikiri hawapo.

Nchi hii bana
Kunufaika sio lazima uwe mmiliki wa kampuni husika,ziko namna nyingi za kunufaika na jambo.Tukirudi kwenye swala lenyewe,nakubaliana na wewe kwamba tuna tatizo la kutopata taarifa sahihi.
 
Huyu mbunge inabidi nianze fuatilia michango yake , kabla sijamsifia, ila naona Kuna kitu ndani yake, mchango wake ni mzuri,
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Nimemsikiliza jana anasema anatishiwa maisha ,ila awamu ya 5 wapigaji walikuwa wengi sana yaani 168m Tsh per day kwa miaka 6 tunapigwa? Ushauri wake ni mzuri wa TBS kununua DNA direct kwa 0.8 instead tunayopigwa ambayo ni 7 ,yaani tunapigwa bei karibu mara 9.
Wafia jiwe wanaelewa hapa?
 
Wafuasi wa kiongozi wa malaika haya ongezeni juhudi ya kupiga deki na kufagia.... "daaah ndio maana makelele ni mengi kwa maana mirija inakatwa!!"
Tumeibiwa sana
 
Hili ndio tatizo la vijitu viswahili. Umesha program akili yako ili usikie unayotaka kusikia tu hata kama ni uongo.

GFI ni kampuni ya Israel, na iko nchi kibao. Hata sasa hivi bado wanafanya kazi Zanzibar. Mimi nahusikaje ?

Kwanza ukitaka kujua huu ni upumbavu, GFI walikuwa wanapewa tender na EWURA lakini cha kushangaza tangu huu upuuzi uanze kutajwa, EWURA hawazungumzwi kabisa na wao wako kimya utafikiri hawapo.

Nchi hii bana

Are you sure wapo Zanzibar as we speak ???
 
Tabasamu ni mwendawazimu.

Tatizo la nchi yetu, watu wanapenda sana kupepeta midomo na kama huna akili bado utabaki kuwa kama taahira.

Kwanza GFI haina miaka 6, ipo nchini zaidi ya miaka 6.

Pili, hakuna pesa ya serikali iliyopigwa. Pesa waliyokuwa wanalipwa GFI ilitokana na tozo ya Tsh 17 kwa kila litre ya mafuta iliyokuwa inalipwa na wenye matank ya mafuta.

Nchi hii taarifa sahihi na za uhakika zimekuwa bidhaa adimu sana. Kila kitu kinaguswa juu juu tu.
Huenda unayosema ni kweli,maana kwanza mwanasiasa yeyote anapotoa hoja kwa mwamvuli wa aidha Mungu au Uzalendo...basi mimi napata shaka.

Kama hawa GFI kweli wakipiga hizo pesa na ni wakati wa hayati Magufuli ?

Basi ni lazima wizara ya nishati wawajibishwe kwa huo ufisadi.

Na kama hawa wabunge wamesema uongo kwa manufaa yao ya kibishara basi ukweli uwekwe hadharaani.
 
Huenda unayosema ni kweli,maana kwanza mwanasiasa yeyote anapotoa hoja kwa mwamvuli wa aidha Mungu au Uzalendo...basi mimi napata shaka.

Kama hawa GFI kweli wakipiga hizo pesa na ni wakati wa hayati Magufuli ?

Basi ni lazima wizara ya nishati wawajibishwe kwa huo ufisadi.

Na kama hawa wabunge wamesema uongo kwa manufaa yao ya kibishara basi ukweli uwekwe hadharaani.
Hakuna ufisadi hapo.

Labda useme rushwa hasa nyakati mchakato wa tender.

GFI inafanya kazi tangu kama 2012 huko. Ilikuwa inapata mkataba wa miaka mitatu mitatu.
 
Hio at the end si I naende kuwa mzigo kwa end user? Inaonekana umesomea Sayansi kimu sasa una i apply humu
Sasa kama lengo lao ni kutetea end user mbona hawaipingi hiyo tozo na mpaka sasa GFI haipo lakini bado inatozwa ?
 
Kwa bara mkataba wao umeisha lakini hawajaongezwa na ndio hizo drama zimeanza.

Ila kwa Zanzibar, mkataba wao bado ni VALID.
mtoa mada mim sijui hayo maishu.ila napenda u
utaratib wa maziwa kila mwisho wa mwez na kuagiza menu depo
 
Nimenukuu maneno ya mbunge anayelalamika kwa miaka 6 tulikuwa tunapigwa ,miaka 6 ni awamu ya 5 mkuu...tuliaminishwa kwamba upigaji hakuna,yaani wezi wananunua DNA kwa 0.8 USD huku wanakuja kutuuzia kwa 7 USD bei karibu mara 9.
Kwa hiyo mbuge huyu kaligundua leo hili?
 
Sijaona uwendawazimu wa Tabasamu kama unavyosema. Hiyo tozo inatozwa na nani? Ikitozwa akalipwa huyo GFI badala TBS kama anavyopendekeza MH Tabasamu itakuwa inaingia wapi kama sio Serikalini?
Hoja ya Tabasamu ni kupanua wigo zaidi wa vyanzo vya pesa kwa ajili ya miradi itakayowasaidia Watanzania moja kwa moja...na alipendekeza pesa hizo zikiwa zinalipwa kwa TBS ambao wanaweza kufanya kazi hiyo, tafsiri yake tutapata mabilioni ya pesa kwa ajili ya barabara za Vijijjini. Sijaona alipokosea.
Tabasamu ni mwendawazimu.

Tatizo la nchi yetu, watu wanapenda sana kupepeta midomo na kama huna akili bado utabaki kuwa kama taahira.

Kwanza GFI haina miaka 6, ipo nchini zaidi ya miaka 6.

Pili, hakuna pesa ya serikali iliyopigwa. Pesa waliyokuwa wanalipwa GFI ilitokana na tozo ya Tsh 17 kwa kila litre ya mafuta iliyokuwa inalipwa na wenye matank ya mafuta.

Nchi hii taarifa sahihi na za uhakika zimekuwa bidhaa adimu sana. Kila kitu kinaguswa juu juu tu.
 
Tabasamu ni mwendawazimu.

Tatizo la nchi yetu, watu wanapenda sana kupepeta midomo na kama huna akili bado utabaki kuwa kama taahira.

Kwanza GFI haina miaka 6, ipo nchini zaidi ya miaka 6.

Pili, hakuna pesa ya serikali iliyopigwa. Pesa waliyokuwa wanalipwa GFI ilitokana na tozo ya Tsh 17 kwa kila litre ya mafuta iliyokuwa inalipwa na wenye matank ya mafuta.

Nchi hii taarifa sahihi na za uhakika zimekuwa bidhaa adimu sana. Kila kitu kinaguswa juu juu tu.
Wewe ndio mbulula kabisa! Hiyo tozo ya tsh 17 ilikuwa analipwa nani? Serikali ndio ilikuwa inalipwa,then serikali inamlipa GFI. Serikali ndiyo ilikuwa imeingia mkataba na GFI siyo wauzaji w mafuta.

Kwa muktadha huo,serikali ilikuwa imeingia mkataba wa kifisadi. Mkataba ulipoisha mwaka jana,GFI wakawa wanaongezewa mkataba wa miezi mitatu mitatu kwa quotation!
Just imagine,mkataba wa milioni168 kila siku kwa quatation,halafu mnajitapa uzalendo? No!

Kwa viwango vyovyote,huu ni ufisadi uliofanyika na kufumbiwa macho wakati wa serikali ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom