sitta alikuwa na tamaa ya urais na alijua LOWASSA kuendelea kuwa waziri mkuu ni kikwazo kwake
katika sakata ya escrow PINDA hakujiuzuli kwa kuwa makinda hana nia ya urais
ni sitta aliyelifunga MJADALA WA DOWANS bungeni huku leo akilialia kwamba hamna utekelezaji wa maazimio ya bunge.
MWAKYEMBE alimficha muhusika hasa kwa kashfa ya RICHMOND na sasa atutajie........
Mkuu ipo siku utabadili ID au uhame kabisa jukwaan! EL kasema kwa kinywa chake, "asiemtaka huko CCM ahame" kwa maana nyingine huyu bwana ana nguvu kubwa kuliko chama na chama hakina uwezo wa kumwambia lolote!
Ninavyoona, hakuna wa kumzuia huyu jamaa kwenda ikulu! Nilikua siamini ile kauli yake kwamba "huwezi kuzuia mafuriko kwa kiganja"! Ila nimeiamini na nimeelewa maana yake!!
He doesnt know what is happening, his naivety is (once again) getting the better of him... hiki kipindi cha mpito, atembee kama huko juu ya barafu, atunze maneno yake, yatamuhitaji very soon hata kama yeye hayahitaji