Hamadi Rashidi bado hajaridhika anendeleza mapambano na CDM

Anajiita 'mwanasiasa mkongwe'

moyoni amejaa hila. njaa. chuki na wivu (dhidi ya chadema).

mtu mlafi utamjua tu. anaweza kuunda hata 'kambi ndogo ya upinzani bungeni'. ili apate ulaji. aibu

mfilisi wa fikra. wa kuogopwa kama ukoma.

njaa ya tshs. 100 000 000?

Chadema musikubali kuungana nao.

CUF watiifu mumetapeliwa.

undeni chama chenu au njooni kwetu Chadema. viongozi wenu walafi.
 
Ameona wenzie akina Maalim wanakula kuku saizi wakati yeye amenyang'anywa tonge mdomoni na nguvu ya uma.
 
vichwani mwa viongozi wa cuf mmejaa mahakama ya kadhi ,oic na zanzibar kujitenga basi........hawana vision yoyote na ni bendera kufuata upepo tu....wengi wapo kwa maslahi binafsi wakiongozwa na seif na hamad.....hawa noi wa kuogopwa km ukoma..............akina hamad sio watu wa kuendelea kuwaruhusu vichwani mwetu sisi watanganyika.....wahangaikie zanzibar yao na kujitenga kwao na watuache tuendelee na mapinduzi kwani wameshindwa kuwa waspinzani na wamegeuka kuwa wapinzani wa wapinzani ni kituko na ni hatari kwa taifa tukiendelea kuwaangalia ...........kwanza sasa hivi zanzibar ni nchi huru inayojitegemea waende kujenga nchi yao huko visiwani watuache......isitoshe cuf ni ccm-b ya zanzibar na hatuwataki huku bara kwani hawana sera zaidi ya kuendeleza mikakati yao ya dini ya kiislamu....
"KATIKA YOTE CUF SIO CHAMA CHA SIASA ISIPOKUWA NI TAASISI YA DINI YA KIISLAMU NA NI CHAMA HATARI SANA"
 
Hivi HR anatafuta nini Tanganyika alisahau kitu gani tumsaidie kumbebea aondoke aende akajenge Pemba yake, pemba kuna matatizo mengi tu yakiwemo ya upungufu wa madarasa kwanini ang'ang'anie kukagua mahesabu ya halmashauri ya Ukerewe wakati kwao Wawi watoto wanakaa chini? HR go back to your country pls we dont need you anymore. Haya ndiyo mabaki ya usultani bado unawasumbua vichwani, kina Seif wanadhani bila wao kutawala nchi haziwezi kwenda mbele, i hate these people.
 
Jile79 wajinga kama nyinyi muko wengi na hamutoendelea maisha na laana ya Mungu ikufikieni juu yenu
 
Jile79 wajinga kama nyinyi muko wengi na hamutoendelea maisha na laana ya Mungu ikufikieni juu yenu
Mwambie HR huku ni bara si pemba asifikiri bado tunatawaliwa na waarabu aende zake usultani bado umemjaa kichwani.
 
you'll never get asleep because of this real man, Mbowe.

Nimekubali NG'WANANGWA hawatapata fursa kama hiyo ya kulala maana hapa jamvini pakitokea post yeyote ya CHADEMA, MS na wenziwe utawaona hao...
Vipi kuhusu kampeni zangu, wewe utanifaa sana hahahahahaa
 
Ulichokisahau kingine ni mgogoro wa chini kwa chini ndani ya CHADEMA! siku si nyingi utasikia madiwani wa CDM wamefukuzwa au kujiuzulu... hapo sijawasema wabunge. Okaaay wacha tusubiri!
du!
Hivi ubongo wako huwa unautumia kufanya nini Ahamadnejad II?
 
mwambieni hamad kuwa mdaharo uliisha, na freeman mbowe akiibuka mshindi kwa mbali!! Kama anataka kukata rufaa anaruhusiwa lakini namhakikishia kuwa hata ukifanyikia zanzaibar na kurushwa na tvz kwa kusimamiwa na maalim seif ataendelea kushindwa kwa kuwa chama chake hakina rekodi nzuri machoni mwa watanzania.

uliuangalia mdahalo toka mwanzo au uliangalia sehemu ya sehemu ya pili aliyoileta mwanakijiji humu jf??????
 
uliuangalia mdahalo toka mwanzo au uliangalia sehemu ya sehemu ya pili aliyoileta mwanakijiji humu jf??????

Niliuangalia mdahalo wote kuanzia mwanzao mpaka mwisho! Hata pale wale vibaragashia aliowaleta HR kumshangilia walipo anzisha fujo za kijinga kama kwamba kampeni za uchaguzi bado zinaendelea nilipaona!!! Niliona kila kitu. Hamad alishindwa kufurukuta kwa sababu alikuja na hoja ya hofu, wivu na kuonyesha tamaa ya kutaka kupata malupulupu yanayoandamana na kuwa kiongozi wa Kambi ya upinzani Bungeni.

Huyu mtu wenu anajishushia hadhi na kukidhalilisha chama chenu anapohitaji angalau kuwa Kiongozi wa kambi ndogo ambayo haijawahi kuwepo!!
 
Hivi Chadema mmemalizana na naibu katibu mkuu wenu au kulalama ndio zenu?
 
Heko Afande Luten,
Kifupi tu nikuwa ingekuwa jambo labusara sana kama watanganyika mukadai Tanganyika yenu ambayo Mwalim aliipoteza kuliko kudai katiba mpya? Hili lina umuhimu sana kwa historia ya nchi yenu na kwa vile mulipigania uhuru wa nchi yenu Tanganyika sio Tanzania? 11 december 1961 sasa kuna faida gani yakudai katiba wakati hamuna nchi? Wzanzibar akina Hamad Rashid na wenzake wao wana nchi yao yenye Rais wao,katiba yao,Bendera yao,wimbo wataifa wao,mahkama zao,na mipaka ya nchi yao. Sasa kikulacho kiko nguoni mwenu, Mwenye akili timamu anajuwa hakuna mwendazimu hata moja Zanzibar anae ipenda ccm na kila siku Wzanzibar wanomba ifee foroho au mushukuwe wenyenu Wabara ss tumechoka na vitimbi vyao. Na huo Muungano unaishi Zanzibar kwa nguvu ya kijeshi tu lakini wazanzibar imekuwa kero.
Mimi hushangazwa na Chadema kusema watakwenda mahakamani kuishtaki Cuf ktk mabadiliko ya 10 ya katiba ya Zanzibar, Kwa nini musimshtaki Mh Kikwete? au kulishtaki Baraza la Uwakilishi kama muna ubavu? muna juwa kwa nini katiba ccm hawataki kubadilisha? nikuwa haki zote za Zanzibar zitarudi Zanzibar na ukoloni wa kutawaliwa Wzanzibar basi. Wzanzibar tunasubiri kwa hamu kuiona Tanganyika yenu munaifufua na kusimamia haki zenu za Tanganyika zisizo za Muungano, hii niaibu kukataa nchi yenu mulio ipigania uhuru na kupenda ubatizo wa Tanzania.
 

Attachments

  • Baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere on Tanganyika Independent day.jpg
    Baba Wa Taifa Mwalimu Nyerere on Tanganyika Independent day.jpg
    18.9 KB · Views: 22
Baada ya kuona vita yao na ccm imeshindwa sasa chadema inapambana na cuf. Mfano wake ni kama hawara anapogombana na mke halali ! Aibu.
 
Hivi Chadema mmemalizana na naibu katibu mkuu wenu au kulalama ndio zenu?
Kwanza, hiyo topic ya naibu katibu mkuu imefungwa JF. Pili, ondoa hiyo picha ya Julius na Pope kwenye avatar yako haviendani kabisa na hulka yako.
 
Back
Top Bottom