ikiwa tetesi zinazoendelea za cuf kumvua gamba mbunge wake wa jimbo la wawi zitakuwa kweli, bila shaka CDM kitakua na nafasi adhimu kujijenga visiwani iwapo watamshawishi mbunge huyo kujiunga na chama hicho.HII ni kwa sababu Cdm haina kamanda wa uhakika ambaye ana uzoevu mkubwa wa siaza za zenji...pia Cdm kinaweza kumpendekeza awe mgombea mwenza wa dr slaa 2015 kuliko kumpendekeza mtu ambaye hana historia inayofahamika kama ilivyokua 2010 ... hii itazidi kuongeza kura za uraisi kwa Cdm..