Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
Ni kweli, Hamad Rashid aling'ara sana na kumfunika Mbowe kwa mbali sana. Tatizo Mbowe alikuwa akiegemea katiaka uzushi unaopatikana katika MWANAHALISI na JF. Kuiita CUF kuwa na kibaraka, si sahihi. Tatizo lenu mkishindwa uwanjani ndani ya dakika 90 mnaanza kejeli na mzaha
Usitumie kichwa kubebea masikio.
mbowe kama kiongozi wa Chadema ameweza kukifanya chama kuwa imara na kupata idadi zaidi ya wabunge na kuwapoka CUF hata uongozi wa upinzani Bungeni.
Sasa CUF mmefanikiwa kupata nini zaidi ya kuolewa na CCM na huyo mwali wenu kuwa Mama wa nyumbani asiye na kazi yoyote zaidi ya kusubiri kuonja ftari mwezi wa Ramadan?
Nyie upinzani umewashinda tulizeni viuno chini.