Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

huyu yupo kwa hisani ya mahakama.asubiri 2015 aone ataongelea chama gani!
 
Kati ya UKAWA na wanaouwa watu wema na kuwazika kwenye handaki moja nani BOKO HARAM???
 
Mleta mada ni mpotoshaji mkubwa kwani hana hata kielelezo kimoja kutetea hoja yake. Kama ana uhakika aende mahakamani vinginevyo ni porojo tu.
 
Mnaokubaliana nami kuwa aman katika nchi yoyote ile hutoweka pale inapochezewa na makundi ya wahun, mfano boko haramu, m23, ntelahamwe, hata ukawa pia watatupeleka uko wasipodhibitiwa kueneza uongo na chuki miongon mwa watanzania wanaopendana sana, mwenye akili timamu muulze hasa manufaa ya ukawa ni nin? Atakuambia hakuna, ila kund la wahuni tu wanaotaka kuligawa taifa

Ww ndo muhun na ccm yk kwa kuchakachua maon ya watanzania,
Nakuuliza Ukawa kama ni kikundi cha kihun hao wahun mnao waita mbona wamepata vibal vya kuzunguka nchi nzima?
Kikwete ndo aliunda tume ya katiba, rasim ya kwanza aliipokea, ya pili akaipoke je? kwann asinge ikataa wakati anaipokea?
Alikuja kuikataa akiwa bungen je? Hiyo tume ni nani aliwatuma?
Vitu vingine uwe unafikiri kwa akili yako usiwe unatumika shoga ww,
Serikal yako ndo wahun kwa kuwadanganya watanzania nasi hatuko kwa kudanganywa hapa,
Kama ww ulidanganywa na ukaliwa kiboga ni ww liwa tu na endelea kumegwa na kutumika!!!
 
Hamadi njaa mbya sna..unasaliti utu wako kisa njaa..pole sana hamadh

mkuu huyo hamadi ni njaa sana. anabembeleza zile tenda zake serikalini asinyanganywe hana uzalendo wowote huyu.
 
mkuu nisaidie nani mwenye njaa kati ya malimu selfu ambaye analipwa mshahara na ccm na yule hamad ambaye anaendesha maisha yake kwa kujitegemea mwenyewe.

Kumbuka Maalim Seif ndiye aliyeshinda uchaguzi wa urais Zanzibar, na alichaguliwa na wananchi. Huyu unayemtetea ameshikiliwa hapo na MAHAKAMA. Kweli upofu wa kuzaliwa nao hauna tiba...
 
Tatizo la hamadi ni wivu ameona amepigwa bao na wenzake nachama chake cha usaliti adc..uroho na tamaa itammaliza hamadi
Picture is worth thousand words.
 

Attachments

  • Kikwete-Airport.jpg
    Kikwete-Airport.jpg
    52.7 KB · Views: 74
Kama hamna hoja bora kukaa
kimya, umebutuliwa asubuh hii na kukurupuka bila ya kuchamba, kiukwl
mashoga wanatuchafulia sn hii JF safarii hii chemba anawalapuwa kwl si
utan,
Na mpka ikifika 2015 utakuwa huwez kutembea tena utatembea kwa kutanua
miguu na bado, Ukawa inazidi kuchanja mbuga tu ww unatumika ile tigo ya
zaman
Mkuu hicho chuo ulichosomea matusi naomba unielekeze kilipo!
 
Mbunge wa Wawi Hamad Rashid amesema UKAWA ni Boko Haram,wanaeneza chuki serikali inawangalia tu.

Source: magezeti asubuhi rfa

Hivi ukiwa msaliti kumbe unarukwa na akili
 
Mbunge wa Wawi Hamad Rashid amesema UKAWA ni Boko Haram,wanaeneza chuki serikali inawangalia tu.

Source: magezeti asubuhi rfa

Hamad Rashid Mohamed; kama Augustine Lyatonga Mrema na hadithi ya nyota za kisiasa zilizofifia!!!!
Njaa mbaya sana; sasa wanaweweseka na kutangatanga; hamad kabaki mbunge wa mahakama hana chama; Lyatonga kashikilia bambari la gari bovu TLP; wamebakia watu wa kuonewa huruma na CCM; chama walichowahi kuapa kukimaliza!!!
 
Acha porojo wewe. huyo hamad rashid baada ya kufukuzwa CUF alishaoona taa nyekundu kwenye ubunge na hawezi kuupata kupitia haka ka chama alikoanzisha NDiyo maana unaona ameanza kusaka TONGE ili ccm wamhurumie. njaa ndiyo inamsumbua .na kama kawaida ukiungana na ccm akili yako lazima uweke kando kisha unaanza kutumia makalio na tumbo kufikiri.mfano mrema
 
Ccm njanja sna inawamaliza hao wazee kisiasa taratibu na vijana wao..hamad kwisha habar yake..zto naya kwisha kabisa.
 
Tofauti yake ni kwamba boko haram iko nigeria wakati ukawa iko tanzania, hakuna tofauti ingine

UKAWA imeshika pabaya.Tabia moja ya waovu ni kutukana hata katika wanalolijua ni haki na ni kweli.
Nasikia wazenji wanahisi kinaAbdalah K. Hanga wamerudi upya.
 
mkuu wewe ndiyo kibatali kabisa hujielewi kabisa ukoo wenu wote hamuwezi kufikia upeo wa hamadi Rashid.

Mambo mengine ya kitoto kweli. Mtu humjui sasa hata huo ukoo wake utaujuaje? Ukweli ni kuwa Hamad karopoka tuu kisiasa ili aweze pata support ya CCM ambayo imepigania kupitia mahakama asivuliwe ubunge.
Boko Haram wanaua watu kwa halaiki, wanakataza watoto wa kike wasiende shule na mengine mabaya. Sasa hawa mnawalinganishaje na UKAWA ambao mie sioni kosa lao. UKAWA wanaunga mkono rasimu ya katiba yenye maoni ya Watanzania yaliyokusanywa na Tume iliyoundwa na Rais (mwenyekiti wa CCM) na kuletwa Bungeni.
Hivi kama maoni hayo ya wananchi yaliyoletwa na tume ya Rais yangekataliwa na hao UKAWA na wao wakataka serikali mbili ingekuwaje?


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Watu wameanza kupiga hesabu ya muda uliobaki kuitwa wabunge, HR anatafuta fadhira ya chama cha magamba wamkumbuke kwenye nomination ya ubunge 2015! Kwasasa anajua yeye ni mbunge wa mahakama na sio member wa CUF tena, ADC alitegemea ingekua kwa kasi but nayo ndio hiyo tena, mwendo wa kinyonga, katibu wake ndio mwenyekiti wa act, mlitegemea angesema nini katika mazingira hayo!?
 
Ba Hamad, kama mwenyewe na kwa akili zako timamu uliamua bila kushinikizwa UKAPANDA UPEPO, Je ulifikiria utavuna nini ZAIDI YA DHOLBA?

Pole sana Ba Hamad, usubiri tu 2015 ugombee ubunge wa Wawi kupitia chama tawala.
 
Back
Top Bottom