Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

huyu mbunge atakua hana uelewa wowote kichwani kwake eti jana anasimama na kusema UKAWA ni boko haram....hvi kwa mtu timamu unaweza kulinganisha vitendo wanauyofanya boko haram nt ukawa?..,

ni kati ya makapi ya ccm yaliyobaki. Na huenda ikawa ni sababu tosha za kwanini cuf walimtosa kwa siasa zake za uwakala. Hivi ni mbunge wa chama gani kwa sasa? Halafu haya matamshi mengine ya kuwapa wengine sifa ambazo hawana mnawajenga kisaikolojia na huenda kuna siku watataka kufanana nao sijui mtawaitaje tena! Wanasiasa kama hamna hoja za kuchangia kalale hotelini kwako kwani posho utapata tuu! Mnakera sana.
 
Mbunge wa mahakama anatabu kesi yake iliisha kweli huyu
 
Huyu mzee naona njaa inakaza zaidi.. siku hizi amekuwa akiponda upinzani na kusifia serikali....anafanya kama alivyofanya Lyatonga na kupata fadhila za serikali. Tumbo nalo si mchezo...
 
Nilishangaa sana alipopewa zaidi ya dakika 20 kuchangia wakati wa bunge la katiba bila kujali kuwa walikuwa wamevunja kanuni. Na kisa, alikuwa anasiliba cuf na upinzani!
 
Mnaokubaliana nami kuwa aman katika nchi yoyote ile hutoweka pale inapochezewa na makundi ya wahun, mfano boko haramu, m23, ntelahamwe, hata ukawa pia watatupeleka uko wasipodhibitiwa kueneza uongo na chuki miongon mwa watanzania wanaopendana sana, mwenye akili timamu muulze hasa manufaa ya ukawa ni nin? Atakuambia hakuna, ila kund la wahuni tu wanaotaka kuligawa taifa
 
hivi huyu jamaa bado yupo kweli? amepotea vibaya!! sijue ADC yake nayo inaendeleaje kwa sasa au na wenyewe wanaanzisa UKAWA wao na ACT. Vyama vya upinzani ndani ya upinzani - ngoja tusubiri.
 
Huyu mzee ni mtu asiyefaa na anahitaji kupuuzwa tu hakuna zaidi. Amejawa na chuki binafsi na uroho wa madaraka ndo maana CUF walimtosa. Aishukuru sana mahakama la sivyo angekuwa historia kwenye medani za siasa.

Mijutu kama hii haifai hata kuwa mjumbe wa shina kuwadharau UKAWA na kuikumbatia serikali ni sawa na kuwadharau wananchi huyu hazimo kabisa
 
Mbunge wa wawi hamad rashid amesema ukawa ni boko haram,wanaeneza chuki serikal inawangalia tu.magezeti asubuhi rfa

huyu jamaa nadhani baada ya kutimuliwa C.U.F alienda CCM na wakamuhakikishia jimbo kwa awamu ijayo.
 
Ndiyo maana anakelwa na tabia ya upinzani wa leo kwasababu yeye wakati wake hakuwa na upinzani wa kijinga kama wa leo ambao unalenga kuvunja nchi.

Alikuwa akitimiza matakwa ya mabwana zenu,
 
Siyo sahihi kwa sababu ya wachache kuwa na hoja tofauti na chama chako au mawazo yako basi lazima wawe sawa na watu wa aina fulani.

Hebu jipambanueni kwa haki,je yale wafanyayo viongozi wetu waliopewa madaraka ni sahihi?Kwanini tusipigie kelele matumizi mabaya ya pesa za serikali tuko busy kupigia kelele kikundi cha watu wachache ambao hawana hata hiyo sera ya kufanya mauaji?

Kabla haujamnyooshea mtu kidole angalia vidole vingapi vinaelekea kwako! Na mwisho toa kwanza boriti kwenye jicho lako ili uweze kutoa kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
 
Huyu mzee naona njaa inakaza zaidi.. siku hizi amekuwa akiponda upinzani na kusifia serikali....anafanya kama alivyofanya Lyatonga na kupata fadhila za serikali. Tumbo nalo si mchezo...

Kwa tamko hilo peke yake keshaliowa mil 200 na ccm du! Ccm kazi mnayo.
 
Mnaokubaliana nami kuwa aman katika nchi yoyote ile hutoweka pale inapochezewa na makundi ya wahun, mfano boko haramu, m23, ntelahamwe, hata ukawa pia watatupeleka uko wasipodhibitiwa kueneza uongo na chuki miongon mwa watanzania wanaopendana sana, mwenye akili timamu muulze hasa manufaa ya ukawa ni nin? Atakuambia hakuna, ila kund la wahuni tu wanaotaka kuligawa taifa
Thibitishen huo uongo bona mnshindwa?? Mmekazana tu uongo halafu uthibitisho hamtoi wakati wenzenu ukawa wanathibitisha uingo wenu kwa data ,nyie ccm vipi mmezoea kudanganya kudanganya kila siku mna fikiri mtaendelea milele?? Na bado mtaita majina yote lakini shuhuli mtaiona minyoo nyie
 
Kama hamna hoja bora kukaa kimya, umebutuliwa asubuh hii na kukurupuka bila ya kuchamba, kiukwl mashoga wanatuchafulia sn hii JF safarii hii chemba anawalapuwa kwl si utan,
Na mpka ikifika 2015 utakuwa huwez kutembea tena utatembea kwa kutanua miguu na bado, Ukawa inazidi kuchanja mbuga tu ww unatumika ile tigo ya zaman
 
Tatizo la hamadi ni wivu ameona amepigwa bao na wenzake nachama chake cha usaliti adc..uroho na tamaa itammaliza hamadi
 
Back
Top Bottom