Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

Hamadi ni mroho wa madaraka ananjaa kali sna..yupo tayari kutafuna nyama ya mtu sbb njaa tu.
 
Seifu analipwa na Serikali kwa Mujibu wa Sheria pasipo kificho. Hamadi Rashid analipwa Njuruku kwa kuongwa kuwasaliti wenzake ndo tofauti yao. Anachotewa yale mabilioni yanayopotea potea na ameshajua kwamba Wawi hakubaliki sasa hivi naye anaanza kusema kugombea urais ili kiwe kisingizio cha kukwepa aibu ya kubwagwa.
 
Hamadi anasema kwann serikali isiwazibiti ukawa...aise huyu jamaa hazimo kweli.

mkuu wewe ndiyo kibatali kabisa hujielewi kabisa ukoo wenu wote hamuwezi kufikia upeo wa hamadi Rashid.
 
Tofauti yake ni kwamba boko haram iko nigeria wakati ukawa iko tanzania, hakuna tofauti ingine

Tofauti ni kubwa mkuu, wakati ukawa inalenga kutetea maoni ya wananchi kupitia rasimu halali iliyokusanya mawazo yao, ccm inapingana na wananchi na kuwalazimisha kufata wanachotaka wao, ni sawa tu na boko haram walivyoteka raia na kuwasilimisha kwa nguvu(kuwalazimisha wafate wanachokitaka) boko haram wapo msituni-Kapten komba(kiongozi wa ccm) naye ametangaza kuingia msituni, boko haram wanabaka raia-kiongozi wa ccm pia wamekutwa na kesi kadhaa za ubakaji(simbachawene?) Boko haram wanapora mali za raia-ukawa wanatetea na kupingana na uporaji. Nani Haram hapo?
 
Seifu analipwa na Serikali kwa Mujibu wa Sheria pasipo kificho. Hamadi Rashid analipwa Njuruku kwa kuongwa kuwasaliti wenzake ndo tofauti yao. Anachotewa yale mabilioni yanayopotea potea na ameshajua kwamba Wawi hakubaliki sasa hivi naye anaanza kusema kugombea urais ili kiwe kisingizio cha kukwepa aibu ya kubwagwa.
selfu analipwa na serikali kwa mujibu wa sheria ipi kama siyo kusaidiwa maisha na kuendelea kutumika vizuri subiri yatakapoanza kulipuka mtaona msikimbiane baadaye.
 
Mnatapatapa tu baada ya kuona UKAWA inakuwa kaa la moto kwenu.
 
Mbunge wa wawi hamad rashid amesema ukawa ni boko haram,wanaeneza chuki serikal inawangalia tu.magezeti asubuhi rfa

Source sio magazeti, sema ni Gazeti la Uhuru Tuu ndio lenye habari hiii.!!!
 
Ni kwa sababu ya usaliti wake leo si kiongozi tena na si mbunge tena wa Cuf. Anatumiwa ndo maana ccm wanamuona wa maana kwa sasa. kwa wapinzani ni msaliti tu. Hata ccm wakimpokea siku moja atawasaliti tu.
 
Mbunge wa wawi hamad rashid amesema ukawa ni boko haram,wanaeneza chuki serikal inawangalia tu.magezeti asubuhi rfa
Afadhali angesema Anti Baraka kuliko Boko Haramu . Maana pale mwanzo walianza kwa kusema Chadema ni chama cha Wakristo sasa leo wamekurupuka tena:
Ninakumbuka Propaganda kama hizi ziliekezwa kisanii Kwa Ask Kakobe kama ifuatavyo:
1.Kakobe anachanganya dini na siasa harafu wao wenyewe wakamteua Mch Rwakatare Ubunge VITI maalum.
2.Uchaguzi uliofuata wakatoa maombi kwa Wachungaji kuombea Uchaguzi 2010 na kutoa elimu ya mpiga kura sasa Kakobe alipotoa wakafanya njama za kuzuia uanzishaji wa TV yake hadi leo.
3.Kakobe alipokwenda USA kuhubiri TBC ikatangaza ametoroka lakini alipotoa waraka kwa Kikwete wanasema ana changanya dini na siasa.
4.Miaka ya 2000 Serikali walimwita Kakobe kwenye Kipindi cha Kiti Moto ambacho kiliongozwa na Pascal mayalla(0784 270403) kwa ajili ya kuelezea mtazamo wake lakini baada ya kurekodi kipindi hicho wakapiga marufuku.
5.Sasa wakati wanamwita Kakobe tayari watendaji wa CCM walikuwa wanamwita kibwetere na mwizi wa dhahabu uvumi ambao hadi leo umepotosha umma. Sasa unamwita mwizi lakini na kuongea naye lakini humukamati!!

Aliye mtuma hamadi Rashidi hakika ni CCM !!
 
huyu mbunge atakua hana uelewa wowote kichwani kwake eti jana anasimama na kusema UKAWA ni boko haram....hvi kwa mtu timamu unaweza kulinganisha vitendo wanauyofanya boko haram na ukawa?..,
 
wakati hamad rashid anapambana na seif sharif cuf, mlimsifia mkamsapoti, mkamnanga na kumuumbua maalim seif, ila cuf kama kilivo ni chama makini, hawakujali maneno ya watu, baraza la uwongozi chini ya uwenyekiti wa lipumba na katibu maalim seif, walimtia adabu na kumtimua, coz wanamjua madhaifu yake, leo nd mnamuona hana maana.
fine, unganeni nasi kumuona hana maana mtu mzima ovyo
 
Hawa wanasiasa wachumiatumbo watatupeleka pabaya na kauli zisizo na mashiko kama hizi. Cha kushangaza mno ni kwamba hakuna aliyejaribu kumkemea au kumwomba athibitishe kauli yake
 
Back
Top Bottom