Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

Hamad Rashid: UKAWA ni Boko Haram

CCM wabaya sana huwa wanawachoma hawa watu sindano ye wendawazimu ama inakuwaje.....maana kila anayefungamana nao lazima aje na hoja za kitoto na majungu.
 
Hamad Rashid, mtu mzima ovyoooooo!!!! Kujikomba kwingine bhana, mpaka kunatia kichefuchefu!!!
 
Bora aongee sasa hivi huyu Mbunge wa mahakama maana kuanzia mwakani Bunge atakua analiona kupitia TBC tu kama mimi.
 
mkuu wewe ndiyo kibatali kabisa hujielewi kabisa ukoo wenu wote hamuwezi kufikia upeo wa hamadi Rashid.

Waswahili husema "mcheza kwao hutunzwa."huyu Hamad Rashid anajivunia nini jimboni kwake? Kama haikufaa rangi itafaa chokaa?
 
Hamad Rashid ni kiongozi aliyefilisika sn kisiasa, amekwisha kabisa, ame-expire, jimboni kwake hata wale ndugu zake damu 1 wanamlaani, alikuwa kiongozi mwenye heshima ya kumrithi maalim seif lakin amechemka na kudharaulika sana.

Ni mtu aliyekosa dira hana mbele wala nyuma, pale kwao Mgogoni Ditia Wawi alitoa milioni 10 watu wamuunge mkono chama chake cha ADC watu walizichngamkia ghafla ikapachikwa bendera ya ADC, siku ya 2 alipopanda ndege kurudi Dar es salaam na dodoma bendera ilipachuliwa na wale wale wafuasi wake wakarejesha ya CUF hadi leo kwenye maskani ya Msikiti kibegi.

Saivi tunaskia anataka kugombea urais jimbo la Tanga.
 
Waswahili husema "mcheza kwao hutunzwa."huyu Hamad Rashid anajivunia nini jimboni kwake? Kama haikufaa rangi itafaa chokaa?

Hamad Rashid hana kitu jimbon kwake uchaguzi uliopita jimboni kwake watu wote walimkataa mpaka baadhi ya watu kuamua kutaka kupigia kura mgombea wa ccm au chadema.

Ilibidi maalim seif akaja akaweka mikutano ya ndani kuongea na watu wazima kwamba Hamad Rashid apewe nafasi kwa mara nyengine ndio watua wakaheshim ombi la maalim seif hamad akapewa kura.

Sasa hamad rashid alijuwa mm siwezi kupita tn jimbon kwangu 2015 ndio 1 ya sababu za kulikoroga
 
Kwani boko haram nao wanawasaidia wananchi kudai katiba waliyoipendekeza? Au ndo ushamba wa kutumia recent events ktk kuongea na umma. Hizo hata mashankupe wa mtaani walishaacha.
 
Ni kweli,
Kwa kufafanua zaidi angewataja kwa majina wale viongozi wake wakuu;
Ili kila mtu ajue mchawi wa tanzania yetu ni yupi.
 
Mbunge wa Wawi Hamad Rashid amesema UKAWA ni Boko Haram,wanaeneza chuki serikali inawangalia tu.

Source: magezeti asubuhi rfa
Huyo mjinga wanaoeneza chuki ni Jakaya Kikwete anayetisha kutumia jeshi kuulinda muungano, Mizengo Pinda anayetaka vyombo vya dola kupiga raia, William Lukuvi mchochezi wa kanisani, Nepi Mnauye anayebwata kama mwendawazimu na kuwaita wenzake vichaa wakati wao wakiambiwa hivyo wanadai ni matusi, John Komba aliyevimbiwa tumbo anayedai kwenda msituni serikali tatu zikianzishwa na Makonda na lugha zake chafu. Hao ndio wanaopaswa kuchukuliwa hatua na serikali kama ipo.
 
CCM wabaya sana huwa wanawachoma hawa watu sindano ye wendawazimu ama inakuwaje.....maana kila anayefungamana nao lazima aje na hoja za kitoto na majungu.
Huyo ni Juliana Shonza namba 2. Ukitaka kuwa zuzu ingia au fungamana na CCM. Si unaona akina Shvji walivyoharibiwa uprofesa wao? Sasa inakuwa ni vigumu kuwatofautisha na akina Nepi
 
Back
Top Bottom