Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,933
Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid (kushoto), baada ya Rais kuwasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma jana akitokea jijini Mwanza. Mbunge huyo alienda uwanjani kumpokea Kikwete alipotua Dodoma kuja kuonana na Wabunge.