Hamad Rashid Mbunge wa Wawi (CUF) Kuhami CCM?

Hamad Rashid Mbunge wa Wawi (CUF) Kuhami CCM?

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,933
Wawi 1.jpg


Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid (kushoto), baada ya Rais kuwasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma jana akitokea jijini Mwanza. Mbunge huyo alienda uwanjani kumpokea Kikwete alipotua Dodoma kuja kuonana na Wabunge.​
 
Rais amekwenda kuonana na wabunge na Hamad ni MBUNGE......................nini cha ajabu?
 
Hamnazo Rashidi sasa anaonyesha rangi yake halisi!
 
Wawi 1.jpg


Rais Jakaya Kikwete akiteta jambo na Mbunge wa Wawi (CUF), Hamad Rashid (kushoto), baada ya Rais kuwasili Uwanja wa Ndege wa Dodoma jana akitokea jijini Mwanza. Mbunge huyo alienda uwanjani kumpokea Kikwete alipotua Dodoma kuja kuonana na Wabunge.​

Anabembeleza Kikwete ampokee CCM
 
Wana jamvi,nashindwa kujua ni upande gani mbunge wa wawi Hamad Rashid anawakilisha ktk bunge la jmt,huyu amekuwa ni tofauti na nia na maana halisi ya vyama vya upinzani,kuikosoa serikali na kutetea maslahi ya wananchi.yeye amekuwa against na hoja zote za wapinzani,sasa tumueleweje?
 
Mchangia popote pale, halafu fahamu kuwa hizi siasa za hapa nchini mwetu ni ulaghai mtupu hakuna chama cha ukombozi hata kimoya.

Kuumiza misuli yako ya fahamu juu ya ati wabunge wa upinzani au chama tawala bora ujiumize kutaka kuitafutia family yako riziki ya halali.
 
Hamad na ZZk wote wamekuwa misukule wa CCM njaa mbaya.!!
 
Wana jamvi,nashindwa kujua ni upande gani mbunge wa wawi Hamad Rashid anawakilisha ktk bunge la jmt,huyu amekuwa ni tofauti na nia na maana halisi ya vyama vya upinzani,kuikosoa serikali na kutetea maslahi ya wananchi.yeye amekuwa against na hoja zote za wapinzani,sasa tumueleweje?

...aliye kinyume na wapinzani basi si mpinzani, mbona jibu lipo wazi kabisa mkuu..? usiangalie chama chunguza hoja na matendo yake ktk chama ndo utamjua mpinzani halisi na pandikizi. inshort mapandikizi wote mwisho wa mission yao huwa kuanzisha mgogoro na kutaka kuvuruga chama, wafuatilie utabaini mjomba....
 
Wana jamvi,nashindwa kujua ni upande gani mbunge wa wawi Hamad Rashid anawakilisha ktk bunge la jmt,huyu amekuwa ni tofauti na nia na maana halisi ya vyama vya upinzani,kuikosoa serikali na kutetea maslahi ya wananchi.yeye amekuwa against na hoja zote za wapinzani,sasa tumueleweje?

Hamad Rashid=Zitto=Shibuda=ACT=Dengue
 
Wana jamvi,nashindwa kujua ni upande gani mbunge wa wawi Hamad Rashid anawakilisha ktk bunge la jmt,huyu amekuwa ni tofauti na nia na maana halisi ya vyama vya upinzani,kuikosoa serikali na kutetea maslahi ya wananchi.yeye amekuwa against na hoja zote za wapinzani,sasa tumueleweje?

A na B ni sawa
 
Hamadi Rashid ni mbunge wa mahakama na mlezi wa chama cha ADC, zitto kabweni mbunge wa mahakama na ni mlezi wa chama cha ACT.
 
Back
Top Bottom