Hamad Rashid Mbunge wa Wawi (CUF) Kuhami CCM?

ucchukie wala ucshangae kaka,huyu jamaa ni kifaa sema mgogoro wake na cuf umemfanya aendelee kuwa mbuge kupitia mahakama,pengine hii ndo linamfanya ayumbe kwa sasa.maana ubunge wa mahaka unafika ukingoni mwakani.kama anajiegemeza sana ccm inawezekana anataka arudi kwa mainterahamwe ila kiukweli kama atafanya hivyo atakuwa amechemka sana,ushauri kwa bwana Rashid;much better kustaafu politics kuliko kujiunga na interahamwe, that's one, two uckate tamaa haraka kiasi hicho wewe ni jembe unakubalika,upo mbadala wa ccm,cuf na cdm nao ni ACT pse bro nakuomba ujongee huku panakufaa sana maana ndoto zako za kuwa presidaa wa zenjbar zitakamilika,welcome sir hamad Rashid.
 
hawa jamaa wanauwezo mkubwa sana wa kiuchumi kwasasa,hawawezi kuwa misukule ya ccm kirahisi kama unavofikiri wewe
 
Ingekuwa bora kama tungebadili hili neno pinzani, Labda tutumie shindani ingetusaidia kufuta Ile kasumba ya kupinga kila kitu cha upande wa pili kwa vile tu uko upinzani hata kama imani yako au msimamo wako ni tofauti na wenzako.

Na sasa kwa vile wanaitwa wapinzani, wasipopinga watakuwa wasaliti.
 
Hamadi ni mbunge msaka tonge, ni zao la interahamwe! Hana jipya, wawi wajiandae kupata mbunge mwingine, hamad ameshatekwa na watanganyika tayari!
 
NASKIA kapewa million 600 tu akaamua kuuza utu wake na wale waliomchagua....usiniulize nimeskia wapi....
 
nimemuangalia juzi bungeni baada ya wapinzani kutoka nje , NIMEMHURUMIA SANA !
 
Hembu tu-erevuke wajameni,
Kuwa Mu-Intarehamwe naina maana upinge kila akisemacho M-Bokoharam.
Nionavyo mimi mwenzenu hamad yu-mtu makini kama alivyokuwa siku zote ila pengine yale ma-biff yao ya wenyewe kwa wenyewe yaliowapeleka kwa Pilato na hatiamae kuamriwa yeye kuendelea kuwa mbunge kiasi fulani yamemfunga gavana na kuupunguza mng'aro wake huko mjengoni.
 
As a matter of principle, mbunge anaweza kuwa wa upinzani lakini kama wenzi wake wa upinzani wanapotoka au anapoona serikali imefanya kitu fulani sawa, je basi asiruhusiwe? Mimi nadhani awe huru kusema. Upande wa upinzani una falsafa fulani inayowaunganisha. Lakini hiyo haimaanishi they have to walk in lock step kwenye kila jambo. Ni kama maccm, nayo yanatakiwa yawe yanakosoa pala palipopotoka. Tusiendeleze siasa za kishabiki kwamba kwa vile ni upande wangu basi. Mimi huchukizwa sana tunapohoji mambo ya serikali na ccm kwamba wote tunaambiwa ni cdm. Hii ni kufikiri katika maboksi mno.
 
Back
Top Bottom