Nilikua natumia 4G lakini ilikua haifiki hyo spidi,kwenye hizo bar ikipanda sana ni 80Kb/sSidhani kama ni wao sababu japo sikuwa na kazi kubwa kwa jana ila speed hii ilinitosha ukizingatia pia bado nipo na chip ya 3G.
View attachment 1212820
Umejaribu kutest speed ndani ya simu yenye line?4G ndio...sijui shida ni nini,au labda sababu line ni mpya!!!
Lakini si imekupa ukitakacho kwa muda uutakao?Hii spidi ya halotel 4g sasa ni sifa yaan gb 1 inapukutika tu masaa kadhaaView attachment 1213804
Kabisa mkuu ndo mambo yanayoyapenda nikiwa kwenye internetLakini si imekupa ukitakacho kwa muda uutakao?
8.75 MB Ni speed nzuri kiukweli...Hii spidi ya halotel 4g sasa ni sifa yaan gb 1 inapukutika tu masaa kadhaaView attachment 1213804
Hii spidi ya halotel 4g sasa ni sifa yaan gb 1 inapukutika tu masaa kadhaaView attachment 1213804
Nilikuwa natumia kwa kujibanajibana ndani ya masaa mawili zimebaki mb 0Sio masaa mkuu...hapo ni dk 0 tu
na wakiona umemaliza haraka wanakuhamisha kifurushi unapigwa bei za uropeNilikuwa natumia kwa kujibanajibana ndani ya masaa mawili zimebaki mb 0
Sehemu nyingi wanatupiga bei kuswap
China plaza wanaswap kwa buku 2
Halotel makao makuu bureeee
Mawakala wana njaa sio mchezo yaani kuswap tu pesa au zile gb 4 ofa wanataka tuwalipe
Je Kama Nina simu haisapoti 4G,,,inasapoti 3g je nikiweka line ya 4g speed ya internet unaweza kuongezeka kidogo tofaut na mwanzo nikitumia 3g
Kweli! Watu tuna swap bure na unapata 4GB bure za kutumia week ye analipia!
Acha mikwara kama hujui hata NAT ni niniumeamua kuweka IP Adress yako public ? Not much good
Nina mpango wa kununua hizi outdoor 4G router hivi karibuni nijenge mnara wangu niipandishe juu maana naona maghorofa ya majirani yanablock 4G. Ntaweka uzi wa comparison nadhani ndio itakua solution ya internet ya homeHii band Ni pasua kichwa mkuu, ukiwa nje pia huipati?
Sijui tatizo ni sim nnayo tumia au laa
Baada ya kuona huu uzi nili enda china plaza
Nika sajili line ya chuo tshs 7000
Nika swap kwenda 4G tshs 2000
Vocha nika weka ya tshs 2000 week GB 5
Natumia internet ila haisomi 4G LTE ina ishia kusoma 4g tu sim ni izi LG G3 at&t mda wote ina icon ya 4g lakin speed ya kawaida kama 3g
Wataalamu emb nisaidien nifanyaje
View attachment 1212712
How do they do it?mkuu seems hawa halotel wameblock wifi tethering, atleast kwangu, nikishare wifi na computer ama simu nyengine inakuwa slow ila nikitumia usb tethering ipo fast sana,
View attachment 1208622
ila kwa speed wapo vizuri, sasa hivi server ndio zinanikwamisha zipo slow na sio internet speed
Mkuu Huku kulimit hotspot kupo zamani tu na Ni built in feature ya android ambayo isp anaitumia, sijui inavyofanya kazi Ila unaweza kubypass kwa kutumia 3rd party apps/drivers.How do they do it?
Maana ukiwasha wifi hotspot simu yako si inakuwa NAT router? It should be invisible kwa mtandao kuwa umeshare
Nimesoma soma kidogo. Interesting stuff.Mkuu Huku kulimit hotspot kupo zamani tu na Ni built in feature ya android ambayo isp anaitumia, sijui inavyofanya kazi Ila unaweza kubypass kwa kutumia 3rd party apps/drivers.