Punnisher
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 1,131
- 1,246
mkuu hivi vismart vitochi vya voda unavizungumziaje? vina hizo specs ulizotaja?Ndio vipo vyenye 4g, mimo na hio band 2600, sema asilimia kubwa sio lte advance, na kuikuta yenye lte advance bei inakua ndefu inaweza fika laki 3.
Kwa experience yangu flagship za zamani Unazipata kwa bei rahisi zaidi kuliko router kali, mfano Google pixel 2 ama Sony Xz1 Unazipata around $60 huko ughaibuni, hii Modem yake ni Gigabit lte, kwa speed tu ya 4g hakuna Router inayofikia. Pia unakuta ina bands zote Duniani Sababu ni flagship hivyo huna haja ya kusumbuka kichwa hata kama ni msafiri wa mara kwa mara.