Nami nasubiria jibu ya hilinaomba niulize Halotel wana night bundle kwa n ni GB ngapi? Maana Airtel wamesha bana mrija ni majanga kwa sisi team popo!
Kwangu halotel imeanza zingua siku hizi za karibuni siku zote ilikuwaga poa kabisa na nipo town sijahama mji wala niniwewe sijui unatumia halotel gani..! halotel wako vizuri sanaa mkuu nina lain mbili kweny simu yangu vodacom na halotel ila halotel huwa inaniokoa sana upatikanaji wa huduma za internet huwa ni mzuri
mkuu halotel kwangu wako njema yani kwa kifupi nawafaidi hamn sehem ninewah kwend wakaniangusha kuna siku nilienda maeneo ya porini uko yani voda walikuwa chali mara bar moja mara inapotea ila halotel ni h+ inakwenda vizuri mno hawa jamaa sijawah kuwajutia kutumia huenda labda na eneo ulipo hawajazingatia ila wakiamua wana net bomba sanaKwangu halotel imeanza zingua siku hizi za karibuni siku zote ilikuwaga poa kabisa na nipo town sijahama mji wala nini
Labda kwa eneo langu wamezidiwa mkuumkuu halotel kwangu wako njema yani kwa kifupi nawafaidi hamn sehem ninewah kwend wakaniangusha kuna siku nilienda maeneo ya porini uko yani voda walikuwa chali mara bar moja mara inapotea ila halotel ni h+ inakwenda vizuri mno hawa jamaa sijawah kuwajutia kutumia huenda labda na eneo ulipo hawajazingatia ila wakiamua wana net bomba sana
Nami nasubiria jibu ya hili
naomba niulize Halotel wana night bundle kwa n ni GB ngapi? Maana Airtel wamesha bana mrija ni majanga kwa sisi team popo!
shukranNight bundle
500 gb1
1500 gb 5
Mambo yashabadilika chap!Night bundle
500 gb1
1500 gb 5