Halotel ndio mtandao dhaifu zaidi kwenye huduma ya Internet kwa sasa

sijajua eneo lako mkuu, ila hakikisha una kifaa cha 4g chenye band 2600, kiwe na mimo x 2 na kiwe na angalau lte advance uta enjoy 4g ya halotel
Mkuu, mfano hapa Mbeya ni Maeneo Machache saana Halotel wanapatikana kwa 4G hiyo. Eneo nililopo hata kutuma tu Msg za Kawaida ni shida ila nipo Jijini hapa hapa ila baadhi ya Maeneo ndiyo mnara unasoma 4G.
Jamaa hawa huduma zao Mbovu saana, vijijini ndiyo kabisa.
Nilipo mimi nalazimika kutumia Vodacom
 
Mkuu, mfano hapa Mbeya ni Maeneo Machache saana Halotel wanapatikana kwa 4G hiyo. Eneo nililopo hata kutuma tu Msg za Kawaida ni shida ila nipo Jijini hapa hapa ila baadhi ya Maeneo ndiyo mnara unasoma 4G.
Jamaa hawa huduma zao Mbovu saana, vijijini ndiyo kabisa.
Nilipo mimi nalazimika kutumia Vodacom
Band yao hairuhusu kuwa na coverage kubwa, hio 2600, hivyo unapata speed zaidi kwa coverage ndogo.

Tigo wao wana coverage kubwa speed ndogo.

Voda kati na kati.
 
Band yao hairuhusu kuwa na coverage kubwa, hio 2600, hivyo unapata speed zaidi kwa coverage ndogo.

Tigo wao wana coverage kubwa speed ndogo.

Voda kati na kati.
Tunafanyaje sasa Mkuu ili tuweze labda kufaidi nasisi?
Maana umeongea kitaalamu zaidi Mkuu?
I real appreciate you.
 
Tunafanyaje sasa Mkuu ili tuweze labda kufaidi nasisi?
Maana umeongea kitaalamu zaidi Mkuu?
I real appreciate you.
Hakuna jinsi mkuu, uzuri ni kwamba hulazimishwi kutumia mtandao, we kuwa na line za mitandao mitatu ama minne, angalia speed na vifurushi Kisha tumia ambao kwako unakupa unachotaka.

Na siku hizi kuna simu za line 2 unaweza ukaiweka line 1 ya kupiga na kupokea na nyengine kwa ajili ya internet tu.
 
Hakuna jinsi mkuu, uzuri ni kwamba hulazimishwi kutumia mtandao, we kuwa na line za mitandao mitatu ama minne, angalia speed na vifurushi Kisha tumia ambao kwako unakupa unachotaka.

Na siku hizi kuna simu za line 2 unaweza ukaiweka line 1 ya kupiga na kupokea na nyengine kwa ajili ya internet tu.
Umesomeka Mkuu
 
Angalia vifaa vyako unavyotumia kama havina tatizo au outdated.

Mimi natumia halotel hakuna tatizo zaidi ya kupunguza GB na kutoa unlimited vifurushi vya usiku.
 
Mm nlishahama kabisa nipo zangu halotel nakula maisha

Kunae bundle mpaka LA 200
 
sijajua eneo lako mkuu, ila hakikisha una kifaa cha 4g chenye band 2600, kiwe na mimo x 2 na kiwe na angalau lte advance uta enjoy 4g ya halotel
Hii 2600 ni sawa na ipi kwnye hzi frequency mpya maana naona wanaweka kuanzia 1,2,3,4,5......41
 
sijajua eneo lako mkuu, ila hakikisha una kifaa cha 4g chenye band 2600, kiwe na mimo x 2 na kiwe na angalau lte advance uta enjoy 4g ya halotel
Kwa simu ya kisasa yenye sifa zote hyo yenye kukaa na charge angalau siku nzima

Kwa 6 laki iwe used ama mpya

Ni simu gani unashauri?
 
Kwa simu ya kisasa yenye sifa zote hyo yenye kukaa na charge angalau siku nzima

Kwa 6 laki iwe used ama mpya

Ni simu gani unashauri?
Redmi note 10 mkuu utapata kwa hii budget,

Kwa used Angalia flagship za mwaka juzi, LG g8x, OnePlus 7, etc
 
Back
Top Bottom