Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,453
- 2,205
Halotel baada ya kusifiwa kua na huduma nzuri lakini saizi ni tofauti kabisa spidi yao ya intanet imepungua sana afu wanakula Mb unaweza sema simu imetoboka znavujia chini mwanzo Mb 600 nilikua natumia hata kwa siku 3 lakini saizi hata masaa 24 hazimalizi muda sio mrefu natupa line lenu maana nilinunua kwa ajili ya Mb
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app