Heart Wood.
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 990
- 1,190
Mbona hata Desktop unaweza ku-install software ya Wireless uka - Intanetika kupitia Bluetooth tethering kwa Smartphone yako.?Mkuu desktop bado zipo so modem inasongesha kama kawaida
Mbona hata Desktop unaweza ku-install software ya Wireless uka - Intanetika kupitia Bluetooth tethering kwa Smartphone yako.?Mkuu desktop bado zipo so modem inasongesha kama kawaida
Inatokeaje hii?Tz ya leo siyo km ya mwaka 47. Kila kukicha matapeli wanaongezeka.
Ni kuwa makin na pesa yako tu vingenevyo utauziwa bundles kweny gunia. Ukija kufungua unakutana na midoli
Mkuu hiyo halotel line ya wanafunzi ulichongewa sh ngapi...?Natumia Halotel na naifurahia sana ila natumia line ya wanafunzi
Nilinunua elfu 10 mawakala wanazoMkuu hiyo halotel line ya wanafunzi ulichongewa sh ngapi...?
Sijawah fikiria tumia airtel as my internet favorite ushauri hamia halotelHivi Airtel leo ni kwangu tu jamani au?
Actually ni tokea jana usiku saa 4 hadi sasa.
Network inakatakata taabu tupu.
iyo ya 10 gb inauzwa 600 na sio buku...wew na wengine shtuka AIRTEL ndyo kila kitu kuna sim kad mpya za vyuo zinauzwa kimya kimya bila promo kama mwitaji nichek +255687620807 tena unajiunga popote na kingine wana vocha kama vocha special za chuo kama unataka kudownload kuna vocha ya.buku unapata GB10 ndani ya siku tatu na kuchonga bure sema inakuwa inatumika usiku kuanzia saa nne......umewah ona wap kwenye kuongea sasa hebu check
jinsi unavyopata dakika za mitandao yote hafu linganisha na mtandao unaoutumia
1=sh.500 dk 20
2=sh.650 dk 35
3=sh.1009. dk 60
,wap umeona hyo....
Asante kwa taarifa. Si unajua tena sisi wa born before tunajifunza taratibu sanaa?Mbona hata Desktop unaweza ku-install software ya Wireless uka - Intanetika kupitia Bluetooth tethering kwa Smartphone yako.?
Halotel majangest,Mbona mi hapa nakula good time na halotel?
Sijawahi kujutia kuitumia halotel.
Mitandao mingine naona ni majanga tu