mtanzania asiye jielewa
Senior Member
- Nov 13, 2016
- 179
- 99
Utakuwa umetumwa na tigo
Hivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!Nilinunua elfu 10 mawakala wanazo
Unaweza ukawa siyo mwanafunzi lakini ukamnunulia mdogo wako.Hivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!
Si halali na Halotel wanafaham sana tu lakini ni biashara mkuu bora moja kuliko 10 nenda rudi.kwani wanatoa bure si ni pesa.Hivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!
Airtel wanakibundle mshenzi cha 400 kweny Mpesa na menu yao ya kawaida wana 600 as night parck unlimited internet from midnight to 06:00. Sasa rogwa ujiunge sasa, speed ya konokono halafu wanakupa mb km 250.Inatokeaje hii?
Mbona sio halotel pekee? Mitandao karibu yote wana huo mchezo. Laini za wanafunzi zinauzwa tu kitaa kwa yeyoteHivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!
If that is the case, What if many People(Non University Students) join Halotel via Simcards at lowest charges for University bundles, what will be the Implications as far as the business factors are concerned.? Will Halotel tolerate to operate its business for a long time? Was that scenario considered in their Business plan before lauching their Business.?Si halali na Halotel wanafaham sana tu lakini ni biashara mkuu bora moja kuliko 10 nenda rudi.kwani wanatoa bure si ni pesa.
Mkuu, labda itakuwa ni location, shida ambayo kila mtandao wanayo. Kwa kasi sioni kama ni tatizo kubwa kivile. Tena mi nina line ya mwanafunzi wa chuo na sijui nitamaliza lini kuisoma.Halotel majangest,
kila mtandao wanauza hizo laini kwa wasio wanafunzi siku hiziHivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!