Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Kabisa.. Halotel kwa sasa hakuna kitu ktk internet, mwanzoni walikuwa speedy sana na 3G yao, ila sasa, speed ya kobe afadhali, bureee bureee kabisa..
Hivi Halotel ichi mnachouza Ni bandle..au Ni kitu Gani nimetafuta huu Uzi..Ili kumalizia hasira zangu..Mbona mnakera hivyoo...GB 1..Aifungui kitu chochote..Ukienda kwenye balance... Bandle linapungua..Ukiongea na customer care Hakuna anachojua..Zaid ya kufanya setting.. upumbavu mtupu.
 
Hivi Halotel ichi mnachouza Ni bandle..au Ni kitu Gani nimetafuta huu Uzi..Ili kumalizia hasira zangu..Mbona mnakera hivyoo...GB 1..Aifungui kitu chochote..Ukienda kwenye balance... Bandle linapungua..Ukiongea na customer care Hakuna anachojua..Zaid ya kufanya setting.. upumbavu mtupu.
Sasa hivi bando lao linayeyuka fasta sana tofauti na zamani

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
 
Sasa hivi bando lao linayeyuka fasta sana tofauti na zamani

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Yani kwangu inakula vizuri kabisa. Nilitamani TTCL na line ninayo ila imenishinda, kwangu nimeona halotel ndio inanifaa zaidi.
 
Back
Top Bottom