Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Mitandao yote nimetumia nikakachana nayo naanza na:
1.AIRTEL; Hawa jamaa walikuwa vema zamani kipindi ndo wanajipiga promo na hakatwi mtu hapa mi nilichofanya nikanunua line yao nikawa nakopa kwenye timiza deni lilipokuwa kubwa nikavunja vunja line yao mpaka sasa sina habari nao.

2.TIGO Hawa jamaa huku kwetu wanaboa kiukweli hata net yao kuipata kwa ufasaha ni shida , ila kwa kifupi sina mpango nao hata kidogo.

3. VODACOM: Hawa jamaa nadhani wananifahamu kwa kuwa mdaiwa sugu wa nipige tafu na m pawa na sina mpango wa kuwalipa mi natumia tu line kwa kutuma na kupokea pesa tu.

4.HALOTEL. Hapa ndo penyewe napapenda na sibanduki.

5.TTCL shhitaji hata kupasikia .
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
Ya kweli hayo?
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
Halotel bado ni bomba na ndiyo ninayotumia. Yawezekana location uliko network iko chini. Please recheck!
 
Ni kweli jamani Mimi mwenyewe nimenunua kifurushi cha mwezi ila hiyo speed mbovu imenibidi ninunue kingine cha Voda
 
Hakuna kama halotel internet nchi hii,amewashika wote mpka 4g wanaisoma namba,,,wewe unaelalamikia halotel labda simu au mashine yako mzinguo
 
Humu kuna mpambano wa bihasharaa....wanaopinga halotel hawapewi like.....ila wanaoipa kiki wanapewa like.....kama ni kweli mbona wanazingua hivyo mana hii kampuni ni mpyaaaaa.
 
Mkuu maybe Ni ubovu wa mashine yako, mm tangu nimejiunga Na hawa jamaa sijawahi fail kwny matumizi ya internet..
 
Bila shaka hawa ni voda na tigo. ila kwasasa mim naona kwa suala la net halo muwaache hakuna mtandao wa kulinganisha nao tz. Niko kijijini ndani kabisa ila naenjoy voda tigo n 2g e kabisa ya sua sua
 
Back
Top Bottom