Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Halotel internet mnakera sana, mwogopeni Mungu

Kila mtu naatumie kile anachoona kinamfaa, kwa upande wangu sina shaka na halotel, napata kile ninachokitaka, nina zaid ya mwaka sasa na sijawahi juta, nikisafiri kwenda kijijini nabrowse kwa speed ile ile tofauti na mitandao mingine. Juzi nilipanda bus kidia one kutokea arusha lilikuwa na WiFi, nilijaribu kuconect lakin sikuqeza kufanya chochote, nilkarud kwa halotel yangu nikabrowse vizuri kabisa bila shida njia nzima hadi Dar. Ushauri ni kwamba ukiona hupati kile unachotaka you just quit
 
Hivi hawa Mawakala kuziuza hizo line za Wanafunzi kwa watu wasio Wanafunzi ni halali? Kama siyo halali hivi ndo kusema Management ya Halotel hawafahamu hili au imekaaje hii.!
Acha unoko ww..
 
Halotel bundle upande wangu haina tatizo kabisa nilijiunga kifurushi cha wiki nikadownload series nzima ya blacklist, now nimejiunga cha wiki bado bundle ipo na hakina tatizo kabisa, youtube naingia insta na fb hakiishi kama wengine wanavyo claim
Screenshot_2017-02-10-09-31-30.png
 
Mbona mi hapa nakula good time na halotel?
Sijawahi kujutia kuitumia halotel.
Mitandao mingine naona ni majanga tu
ndugu umeelewa tatizo la mleta mada hata mimi nali experience sana ina time out mara kwa mara sio kwa mtumiaj wa cim ni pale unapo connect na laptop kwa teethering itumike kama wi fi device dah ni balaaaaah kila dk 5 ina kata hata 5 times sasa kwa mtu anaye download mzigo anaacha ucku kucha anategema asbui akute imemaliza anakutana na mzigo ulikata hata robo haijafika inakera sana!!!
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.

Ata tigo internet yao inaboa sana
 
ndugu umeelewa tatizo la mleta mada hata mimi nali experience sana ina time out mara kwa mara sio kwa mtumiaj wa cim ni pale unapo connect na laptop kwa teethering itumike kama wi fi device dah ni balaaaaah kila dk 5 ina kata hata 5 times sasa kwa mtu anaye download mzigo anaacha ucku kucha anategema asbui akute imemaliza anakutana na mzigo ulikata hata robo haijafika inakera sana!!!
Pole sana mkuu. Ila sijui kama mleta mada anapata tatizo kwa namna uliyoielezea.
Mi kwangu ni gudi taim tu.
 
Tutawakimbia mtabaki na net yenu mtumie wenyewe icho ki 3G chenu. kwa wale wanaotumia computer, unanunua bandle tufanye ya siku, wiki au mwezi, unachokutana nacho hata kinyonga hana mwendo wa polepole kama huu, na inakata kila wakati, ukidownload kidogo tu video haifiki popote, tafadhali, TTCL na makampuni mengine yenye faida kwa watz pigeni mbio muwafunike hawa jamaa, wanaudhi kupita maelezo.ni kama mnatuibia pesa zetu tu sasa.
Ndo maana wajanja tukahamia TTCL iko vizuri sana. Sasa hivi wameboresha huduma zao
0e12bf315fbe3748061373e7fdcfffe6.jpg
 
nimeshaenda TTCL AISEE.
 
Back
Top Bottom