Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,605
Kuhusu speed ni eneo na eneo wanachoniboa mb zao hazikai GB moja ya halotel nainigia jamii forum na instagram kidogo inakata wakati airtel natumia had wiki
Nahs wamezidiwa na watumiaji wa internet tofaut na walivokuja mwanzaon
Halotel ndo mpango mzima asikwambie mtuSi watu walisema wanahamia halotel imekuaje tena?
Kwa dar halotel inachagua maeneo ila ukipatia inaposhika speed yake ya 3G ni zaidi ya 4G kwa mitandao mingine yote, mi natumia line za mitandao yote nabadilisha kila wakati ila halotel kwa speed ya net wengine wanasubiri sanaKwakweli internet ya halotel ni janga, matatizo aliyohainisha mleta uzi ni kweli kabisa,
Mi natumia kwny simu lkn iko slow kinoma, labda kwakua ni Dar maana naona wa mikoani mnasifia halotel internet.
ameshakutajia kompyuta ama ukitaka tarakilishi. soma kwanzaUnatumia simu gani?