Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,229
- 128,996
- Thread starter
-
- #61
No no no, Mkuu 1800, mimi kwishney mpaka maini!, nimebaki ...kwa macho tuu!.Ha ha ha ha!kuna msemo ng'ombe azeeki maini mkuu,unaweza ukaamua kuwaachia ulingo vijana ukaona wanazembea ukaamua kurudi mwenyewe ulingoni kuwaonyesha vijana how it suppose to be done!
No no no, mimi kwishney mpaka maini!, nimebaki ...kwa macho tuu!.
Ila nyie vijana wa siku hizi sijui vipi!?, nakua waoga waoga tuu kujaribu, sisi enzi zetu, moyo ukimdondokea, unamtokea, unajaribu, ukikataliwa unasinga mbele lakini angalau ulijaribu!. Wewe kama ni bado kijana, na hayo usemayo ni kweli, jaribu bahati yako huwezi jua!, ila ni comandoo angalia usije ukataka kuleta za kuleta!, utatoka manundu!.
P.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, We are only human!.what the hell!!!?? yawezekana ni mwisho wa mwaka... tunakuwa distracted kirahisi sana... ndio maana kuna mtu aliingia Ikulu kwa sababu alikuwa "so handsome"...
We are only human!.
what the hell!!!?? yawezekana ni mwisho wa mwaka... tunakuwa distracted kirahisi sana... ndio maana kuna mtu aliingia Ikulu kwa sababu alikuwa "so handsome"...
Kiukweli, kila mtu anauwezo wa kuuona uzuri kutokana na macho yake!, mimi mwenzeni nimeshindwa ku update chochote Mdee anachosungumza, nimebaki nikimkodolea macho tuu!, na kukusaidia, hiyo sio wigi, hizo ni nywele zake na zimempendeza sana mpaka wengine kushindwa ku update anachozungumza!.
Sorry wanabody wengine kushindwa ku update, na mimi ni binadamu tuu!.
Pasco.
Wanadodi,
Mbunge wa Kawe, Mhe. Halima Mdee, yuko ITV akihojiwa live!.
Kwa kuanzia, anazungumzia ushiriki wa timu ya Bunge la Tanzania katika michuonao ya timu za mabunge ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambao timu ya bunge la Tanzania iliibuka kidedea!.
Kwa ref. tuu, Halima Mdee ndie mbunge pekee wa kike wa upinzani iliyeingia bungeni kwa merrits!. Wengine wote "wamebebwa!".
Tuendelee kumsikiliza
Please keep on watching!
Pasco.
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.
Watu wenye sauti kwenye jamii badala ya kusaidia kwenye kuhamasisha nafasi na uwezo wa mwanamke kwenye nafasi za maamuzi, uchumi na siasa mnaanza kusambaza sifa za uzuri wake
Ni aibu
Mbunge wangu huyu nilimpigia kura lakini bahati mbaya anakutana na upinzani mkubwa ndani ya chama chake kati yake na Josephine, nani sijui atapitishwa na chama kugombea jimbo la Kawe.
Ritz una lako jambo,nakumbuka mpinzani mkuu wa Mdee alikuwa Mbatia jee???? ... Mnh haya bwana!
Wewe ni gamba inawezekanaje mgombea ubunge wa jimbo lako kupitia mabwepande usi mjue au ndiyoo unazidi kujianika kuwa wewe ni mnafiki kama mwenyekiti wako mhaongwa suti na mpiga dili za madawa ya kulevya...Mbatia alikuwa wa tatu mpinzani wa Mdee alikuwa mwanamke mmoja sasa hivi ni mbunge wa Afrika Mashariki.
Jamaa una nafsi zaidi ya moja?metaphysics hii...ulipiga kura Kawe na Ubungo?hukawii kusema hata Sugu ulimpigia kura Mbeya
Ha ha ha aaa!Ingawa nilikua nimekuaga....Nahisi jukwaa la siasa limeunganishwa na MMU sasa.