nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,449
- 2,305
Naskia kesho watakuwa mitaa ya home MAGU, Napenda kuwakaribisha sana pamoja na kwamba sitakuwepo lakini nimetoa gari yangu kwa ajili ya kuwapokea hapo Masanza.VIVA CDM
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.
Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.
UPDATES
Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli
UPDATES 2
Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...
Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi
Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
unaona gele mkuu hapo hamna cha FUSO na wali ni full nguvu ya umma imependezaje, CCM na wawekezaji CDM na wananchi
Kunti Yusuph kabla ya kujiunga Chadema alikuwa anavaa Hijab muda wote.. Sasa hivi hijab siioni, Atakuwa kashabatizwa sasa hivi
Kunti Yusuph kabla ya kujiunga Chadema alikuwa anavaa Hijab muda wote.. Sasa hivi hijab siioni, Atakuwa kashabatizwa sasa hivi
Kunti Yusuph kabla ya kujiunga Chadema alikuwa anavaa Hijab muda wote.. Sasa hivi hijab siioni, Atakuwa kashabatizwa sasa hivi
Mwezi umeshaisha hawa wanawake hawajarudi majumbani kwao kuangalia familia. Au hawana familia?
Lile gwanda la Chadema na Hijabu wapi na wapi mkubwa! Wakati wa Hijabu ni wahijabu vua gamba vaa gwanda!
Mwenyekiti wa BAWACHA Mhe. Halima Mdee muda huu wako kwenye meli ya kuelekea Ukerewe watakapokuwa na mkutano mkubwa ni kwenye operesheni FUTA DELETE kabisa CCM 2014/2015.
Kiongozi huyo wa kitaifa anaambatana na makamu mwenyekiti Hawa Mwaifunga na katibu mkuu BAWACHA Grace Tedega naibu katibu Kunti Yusuph na makamanda wengine.
UPDATES
Kamanda Halima ndiyo anaingia uwanja wa Nansio tayari kupanda jukwani amembatana na mbunge wa ukerewe Salvatory Machemli
UPDATES 2
Mkiti wa cdm mkoa wa mwanza Adrian Tizeba anasema bila kuwashinda ccm kwenye serikali za mitaa safari ya ikulu itakuwa ngumu...
Katibu mwenezi bavicha simbeye anasema ukiona kijana wa umri wake yuko ccm akizeeka atakuwa mchawi
Mabalozi wa ccm wanatumika kama makarai ya zege kwani wanapewa buku tano ya kurubuni ndugu zao leo baada ya hapo magamba yanaenda Dodoma hayarudi mpaka baada ya miaka mitano
View attachment 194942Kunti Yusuph
Nguvu ya ccm inategemea sana wanawake, nguvu ya upinzani ipo kwa vijana wa kiume, ni wakati wa mdee na wenzake kuwaonyesha wanawake wenzao kwamba wanaweza kupata matumaini mapya nje ya ccm
laki si pesa huna lolote tena unaelekea kuzama, Mwambie na Ritz!!
laki si pesa huna lolote tena unaelekea kuzama, Mwambie na Ritz!!
Kwa hiyo Hijab ni marufuku kuvaliwa na Chadema?