1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,260
- 7,936
Usininukuu kirahisi hivyo.
Tunahitaji Chama mbadala na serikali itakayojenga mifumo imara ya Kidemokrasia yenye kujali maendeleo ya watu.
Chadema imenajisiwa na Uroho wa Mbowe kukwepa Demokrasia ndani ya Chama huku akiwatanguliza wenzake kupigania Demokrasia toka kwa Mwenyekiti wa CCM Chama cha Kijamaa kisicho na Demokrasia nje ya Chama lakini ndani ya Chama kiliasisiwa kidemokrasia na kinajitahidi kwa kiwango japo kidogo.
Mbowe angekua na Dola angekuwa ni kama Mungu asiyehojiwa na mtu yeyote mbinguni na duniani.
Hatutaki viongozi kama hao mana ndio wanaozuia watu kuhoji na kudai haki zao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunahitaji Chama mbadala na serikali itakayojenga mifumo imara ya Kidemokrasia yenye kujali maendeleo ya watu.
Chadema imenajisiwa na Uroho wa Mbowe kukwepa Demokrasia ndani ya Chama huku akiwatanguliza wenzake kupigania Demokrasia toka kwa Mwenyekiti wa CCM Chama cha Kijamaa kisicho na Demokrasia nje ya Chama lakini ndani ya Chama kiliasisiwa kidemokrasia na kinajitahidi kwa kiwango japo kidogo.
Mbowe angekua na Dola angekuwa ni kama Mungu asiyehojiwa na mtu yeyote mbinguni na duniani.
Hatutaki viongozi kama hao mana ndio wanaozuia watu kuhoji na kudai haki zao.
Sent using Jamii Forums mobile app