Halima Mdee aibuka shujaa Kawe

Wewe dada nilikupenda sana kwa kasi yako ya kufanya kazi ulipo kwenda bungeni tu naona umebadilika sana kuna bomba la maji uloweka wewe mpaka leo bado halina maji sasa sijui kulikoni huu ni mwaka wa 5 unawambia nini wananchi wako

Join Date : 18th August 2013
Posts : 280
Rep Power : 357
Likes Received48
Likes Given2


Kumbe unakuja kuzifanyia kazi buku 7 za Lumumba? Duuuuh! Baaaadaeeeee saaaaanaaaaa! Nakusikitikia!
Halima Mdee na John Mnyika, huyu ni wale wale wanaotumwa na Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba.

Ni product safi ya VodaFasta. Kwao 2 X 2 = 5!
 
Last edited by a moderator:
Wewe dada nilikupenda sana kwa kasi yako ya kufanya kazi ulipo kwenda bungeni tu naona umebadilika sana kuna bomba la maji uloweka wewe mpaka leo bado halina maji sasa sijui kulikoni huu ni mwaka wa 5 unawambia nini wananchi wako

vipi unataka akupe wewe shavu la ubunge wa kawe ? weka nia wazi usaidiwe na sio ku "beat around the bush'
 
Kaza buti mh:Mdee mpaka kieleweke 2015 hogera kwa kujua mahitaji ya wananchi wako. MAGU tanajemba moja cjui ilishapotelea na wapi naomba 2015 isipate tena jimbo CDM tunaibana vilivyo.
 
Back
Top Bottom