MwanaHaki
R I P
- Oct 17, 2006
- 2,401
- 705
Wewe dada nilikupenda sana kwa kasi yako ya kufanya kazi ulipo kwenda bungeni tu naona umebadilika sana kuna bomba la maji uloweka wewe mpaka leo bado halina maji sasa sijui kulikoni huu ni mwaka wa 5 unawambia nini wananchi wako
Join Date : 18th August 2013
Posts : 280
Rep Power : 357
Likes Received48
Likes Given2
Kumbe unakuja kuzifanyia kazi buku 7 za Lumumba? Duuuuh! Baaaadaeeeee saaaaanaaaaa! Nakusikitikia!
Halima Mdee na John Mnyika, huyu ni wale wale wanaotumwa na Nape Nnauye na Mwigulu Nchemba.
Ni product safi ya VodaFasta. Kwao 2 X 2 = 5!
Last edited by a moderator: