Mtumiabusara
JF-Expert Member
- Nov 18, 2009
- 473
- 40
na mtaani napo hali mbaya leo mfuko wa sukari kg50, sh 90000 bei ya jumla wakati jk anaingia madarakani ilikua sh 35 000
Kwa kweli maisha ni magumu sana, hivi sukari inapandaje bei iwapo miwa tunalima wenyewe, mashamba ni yetu ya asili si ya kukodi, umeme viwanda vya sukari hawauziwi na Tanesco (wanafua wenyewe), kuna justification gani ya kupandisha bei zaidi ya asilimia 200 in 5 years