ni kweli mwezi uliopita serikali ilichukua pesa hapa TCRA......
Sijui safari hii watachukua wapi! Rostam siamini kama atakubali. My be NSSF yetu macho. Karibu kwenye NGO.
ni kweli mwezi uliopita serikali ilichukua pesa hapa TCRA......
Unafanya kazi kwa wahindi unategemea mshahara tar 25, sahau ndugu. Hii serikali inaunga unga sana suala la mishahara na matumizi mengine. Kumbuka wachina kibao wajenga mabarabara ya magufuli wamesepa kurudi kwao kwa kutolipwa. Na trend inajulikana matumizi kuliko mapato.Hapa ndipo ninapopata taste ya ile wanayoilalamikia CDM...."CCM wasijifanye wasemaji wa vyama vingine!" Je, nikuletee mkataba wangu wa kazi ili uone kama sijaajiriwa?! salary yangu ya October 2011 nilipata November 03; na hii ni kwa wenzangu wote na hakuna kibarua hapo!
Mkuu NasDaz unatetea nini? Hoja iliyopo ni kwamba Serikali inashindwa kugaramia matumizi yake ya kawaida Kama mishahara ya watumishi wake. Hii ni Hali ya hatari inayoonyesha udhaifu katika mipango ya fedha(budget) ya serikali. Pamoja na mifano yako elewa kwamba " lakuvunda halina ubani". Furahia mshahara wako ulioupata nov 03Hapa ndipo ninapopata taste ya ile wanayoilalamikia CDM...."CCM wasijifanye wasemaji wa vyama vingine!" Je, nikuletee mkataba wangu wa kazi ili uone kama sijaajiriwa?! salary yangu ya October 2011 nilipata November 03; na hii ni kwa wenzangu wote na hakuna kibarua hapo!
Wanaokudai waambie wasubiri mwisho wa mwezi. Leo ni tar 25, bado siku tano.
Mnalo babu mie niko sekta binafsi tumevuta salary tangu jana nyie wa serikali ya JK ngojeni tareh igote, wanawasubiri STANBIC tena.Fanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!
usisahau kuwa serikali iliahidi kulipa malimbikizo ya madai ya walimu. Hapo ngoma inogile! Lakini poa tu Mh. Mkulo atapiga goti kwa Cameroon, au vipi!Sijui safari hii watachukua wapi! Rostam siamini kama atakubali. My be NSSF yetu macho. Karibu kwenye NGO.
uwe unafanya utafiti kabla hujasema. serikali ilitangaza kutoa mishahara kila tarehe 24 ya mwezi. sasa kama mwezi huu unatoa tarehe 24 na unaofuata ukatoa tarehe 30..huo ni mwezi wenye siku 28?Fanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!
Wanaokudai waambie wasubiri mwisho wa mwezi. Leo ni tar 25, bado siku tano.
Mkuu naomba nikusahihishe, huyo Kameruni hakusema mwenye shida apige goti... alisema Nchi ikitaka msaada ishike ukuta na Tanzania haijasema lolote lenye kuonyesha msimamo mzito. Membe alibwata-bwata hapa kutuzuga kisha siku chache baadaye wakampokea Prince Charles kwa heshima zote, tunazijua haki za binadamu lakini kitendo cha kuliweka hili la ushoga kama sharti la misaada kwa nchi maskini ni matusi makubwa mno. Binafsi nalipinga kwa nguvu zote.usisahau kuwa serikali iliahidi kulipa malimbikizo ya madai ya walimu. Hapo ngoma inogile! Lakini poa tu Mh. Mkulo atapiga goti kwa Cameroon, au vipi!
Ni kweli aisee!Tunarudi enzi za Mwinyi, mashule yamefungwa kabla ya muda, serikali imefilisika
Serikali corrupt hazikusanyi kodi - Mwalimu Nyerere !!!!
kwa kawaida tunalipwa tarehe 25 hadi 25 ya mwezi unaofuata hapo sio mwezi; nahisi wewe ni mbovu wa hesabuFanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!
izo sekta binafsi,labda kwa vibarua sio waajiriwa,tar ya mshahara ni kuanzia 21-25,mpaka apo esabu maumivu,serikal kushney...
ni kweli mwezi uliopita serikali ilichukua pesa hapa TCRA......
mkuu mwisho wa mwezi inategemea kama serikali huwa yalipa tar 25 kila mwezi basi mwisho wa mwezi sio tarehe 30 kuna wajiri wengine mwisho wa mwezi nitarehe 20,mwisho wa mwezi ni mzunguko wa siku thelathini tarehe haijalishi inategemea mwajiri anaanza kuhesabu lini mwezi wake,hope unshanfahamuFanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!
Mkuu NasDaz unatetea nini? Hoja iliyopo ni kwamba Serikali inashindwa kugaramia matumizi yake ya kawaida Kama mishahara ya watumishi wake. Hii ni Hali ya hatari inayoonyesha udhaifu katika mipango ya fedha(budget) ya serikali. Pamoja na mifano yako elewa kwamba " lakuvunda halina ubani". Furahia mshahara wako ulioupata nov 03
Unafanya kazi kwa wahindi unategemea mshahara tar 25, sahau ndugu. Hii serikali inaunga unga sana suala la mishahara na matumizi mengine. Kumbuka wachina kibao wajenga mabarabara ya magufuli wamesepa kurudi kwao kwa kutolipwa. Na trend inajulikana matumizi kuliko mapato.