Jean chill
Member
- Apr 8, 2011
- 69
- 20
Fanyeni kazi acheni kupiga umbeya mwisho wa mwezi bado tayari mshaanza kulalama hela ya mwisho wa mwezi. Je mngelikuwa mnafanya kazi katika kampuni binafsi ambapo mshahara hutoka tarehe 30 si mngelia nyie vp!!!!
Nadhani huelewi ulinenalo, unaposema mwisho wa mwezi bado wamaanisha nini? Mwezi una siku ngapi? Kama huwa unapokea mshahara trh 25 basi watakiwa kupokea trh 25b tena isizidi... na hata ukihesabu siku utapata ni siku ngapi kisha check mwezi huwa una siku ngapi! unaposaini mkataba wa kazi kuna kipengele cha tah ya kupokea mshaara na siku zote huwa haizidi thr 28, hiyo ndo kawaida.