Sura ya Al- Ahzab

Sura ya Al- Ahzab

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,951
Reaction score
6,624
Nimefungua Quraan,at random,na aya ya kwanza niliyoiona ni hii:
"Ewe Nabii! Endelea daima kwenye kumcha Mwenyezi Mungu kwa kuyafanya maamrisho Yake,na waumini wakufuate kwa kuwa wao wanahitajia hilo zaidi kuliko wewe,na usiwatii makafiri na watu wa unafiki. Hakika Mwenyezi Mungu ni mjuzi wa kila kitu,ni Mwenye hekima katika uumbaji Wake,amri Zake na uendeshaji mambo Wake.

Unajua niliamka asubuhi and I heard a voice saying,"Ukimtaja Allah,mtaje pia na Mtume Wake Muhammad.
 
Maswahaba bhana 😆

Quran ilishuka toka mbinguni.
 
Hakika Mwenyezi Mungu anawajua wale wenye kuwavunja watu wasipigane jihadi katika njia ya Mwenyezi Mungu,na wenye kuwaambia ndugu zao,"Njooni mjiunge na sisi na muacheni Muhammad! Msihudhurie vitani pamoja na yeye,kwani sisi tunachelea msije mkaangamia anapoangamia yeye. Na wao,pamoja na uvunjaji moyo wao huu,hawaji vitani isipokuwa kwa tukizi,kwa kujionesha na kutaka kusikika na kuogopa fedheha".
 
Back
Top Bottom