Hali ya kupooza kwa mwanadada Wakonta

Hali ya kupooza kwa mwanadada Wakonta

Mmh binadamu tunavyojuaga kulalamika. Mtu ana ndoto ya kufanya kitu fulani, basi isipotimia, atakavyolalamika kwa Mungu asahau na mema mengine yote mweee
Kulalamika kupo, hasa siku za mwanzoni, ukizoea shida utakubaliana nayo tu kwa kuwa hakuna namna ya kuikimbia.
 
Kulalamika kupo, hasa siku za mwanzoni, ukizoea shida utakubaliana nayo tu kwa kuwa hakuna namna ya kuikimbia.
sio kama tunayoyapitia hayatuumizi, but je hatukufuru kwa kulalamika kwetu? Especially unapokuwa unajipimanisha na wale waliokuzidi? Huna tu gari unaona kama Mungu hakupendi, mtu ana miaka 22 hana kazi eti anataka na kujiua but still ana familia inayomuhudumia, humkufuru Mungu?
 
[1]TUMIA VIZURI AFYA YAKO KABLA HAYAJAKUPATA MARADHI.

[2]TUMIA VIZURI MALI YAKO KABLA HAUJAKUKUTA UFAKIRI[UMASKIN].

[3]TUMIA VIZURI UHAI WAKO KABLA HAUJAKUKUTA UMAUTI[KIFO].
Maneno mazito sana haya. Yameutia simanzi moyo wangu.
 
Inachosikitisha mama yake bi Lyimo alisema hata hawana habari si mwanafunzi mwenzie aliyemgonga wala familia ya 'hicho kivulana.' Imbecile sana huyo kijana na familia yake. Wakonta family wanapaswa kufungua kesi kuishtaki hiyo familia ya waliyomgonga.

So sad binti mrembo maskini!
 
Pole sana.Nilichokipenda na kujifunza ni kuwa katika maisha ukipata tatizo usikate tamaa zaidi kuwa imara kama ndugu yetu anavyofanya.Mungu akutangulie na akubariki katika kila ndoto yako uitimize
 
Kama hospitali haiwezekani basi apelekwe kwenye huduma ya kiroho kwa TB Joshua kwa maana wiki iliyopita niliona mtu aliyepooza kule Korea akisimama toka alipokuwa amelala. Inawezekana shetani kaweka mkono wake


Yaan wamuache Mungu aliyemnusuru katika hiyo ajali akamuachia uhai aende kwa TB Joshua??? Who is he by the way??? Kwani huko ndio Mungu atasikia maombi yake???
 
Atafika mbali,pamoja na hali aliyo nayo ila still yuko talented na hakati tamaa!
 
Maana yake anajihisi ana kichwa tu.

Ndicho anaweza kukipa amri, vingine hahisi kuwa navyo wala hana mamlaka navyo.

Immagine uwe umekaa kwenye kochi halafu jaribu kuutumia mfagio uliopo mbele yako ufagie bila kuushika,hii ndio adha anayopitia mdada.

Pole sana dada.
Dunia nzima hakuna tiba?????
 
Inachosikitisha mama yake bi Lyimo alisema hata hawana habari si mwanafunzi mwenzie aliyemgonga wala familia ya 'hicho kivulana.' Imbecile sana huyo kijana na familia yake. Wakonta family wanapaswa kufungua kesi kuishtaki hiyo familia ya waliyomgonga.

So sad binti mrembo maskini!
Mkuu shtaka na fidia yoyote haitaleta afya mpya kwa wakonta, huenda amesamehe yeye na familia yake kama sehemu ya kupata amani ya nafsi(the peace of mind).
 
It's so sad, somebody has said this problem is not curable. I have such problem too but fortunately my hands work ... I got so much pain to hear that it's not curable. I blame myself to pass through this thread. Anyway pole wakonta mm ndugu yako km nawe unapitaga uku.
 
Kama hospitali haiwezekani basi apelekwe kwenye huduma ya kiroho kwa TB Joshua kwa maana wiki iliyopita niliona mtu aliyepooza kule Korea akisimama toka alipokuwa amelala. Inawezekana shetani kaweka mkono wake
Kabisa aisee ...


Emmanuel!!
Good Morning!
 
Inachosikitisha mama yake bi Lyimo alisema hata hawana habari si mwanafunzi mwenzie aliyemgonga wala familia ya 'hicho kivulana.' Imbecile sana huyo kijana na familia yake. Wakonta family wanapaswa kufungua kesi kuishtaki hiyo familia ya waliyomgonga.

So sad binti mrembo maskini!
Kivulana gani tena?
 
It's so sad, somebody has said this problem is not curable. I have such problem too but fortunately my hands work ... I got so much pain to hear that it's not curable. I blame myself to pass through this thread. Anyway pole wakonta mm ndugu yako km nawe unapitaga uku.
Davie, Pole sana ..
 
It's so sad, somebody has said this problem is not curable. I have such problem too but fortunately my hands work ... I got so much pain to hear that it's not curable. I blame myself to pass through this thread. Anyway pole wakonta mm ndugu yako km nawe unapitaga uku.
Pole sana kwenu Daviie na Wakonta, Mungu awaongoze vyema na aendelee kuwa nanyi siku zote za maisha yenu. HE knows where you guys are heading, dont worry tupo pamoja nanyi.
 
Kivulana gani tena?
Hicho kivulana kilikua schoolmate wake na ndiye kamsababishia hilo tatizo. By the way japo mimi si muumini wa madhehebu ya kikristo, naunga mkono hoja ya mdau juu, kuwa aende kwa TB Joshua huenda akapona. Hivi haiwezekani tukafanya harambee humu JF jamani tukamsaidia? Naumia sana na suala lake. She is too young. Naumia sana!
 
Hicho kivulana kilikua schoolmate wake na ndiye kamsababishia hilo tatizo. By the way japo mimi si muumini wa madhehebu ya kikristo, naunga mkono hoja ya mdau juu, kuwa aende kwa TB Joshua huenda akapona. Hivi haiwezekani tukafanya harambee humu JF jamani tukamsaidia? Naumia sana na suala lake. She is too young. Naumia sana!
Aliemgonga ni msichana mwenzao schoolmate.

Sure, about SCOAN hata Mimi napendekeza aende
 
Yupo kwenye mahusiano na mkaka wa kitanzania anayeishi marekani nami najiuliza anafanyaje lile tendo?
Nadhanj hilo nalo alihitaji kuuliza.

Lakini sasa, hata akisikia, ataezaje kufanya.?!
 
Back
Top Bottom