Hali ya kupooza kwa mwanadada Wakonta

Hali ya kupooza kwa mwanadada Wakonta

Babaanyi

Senior Member
Joined
Aug 10, 2012
Posts
114
Reaction score
43
Drs habarini, ninaomba kufahamishwa Hali halisi ya dada mlemavu anaeandika script kwa ulimi, Je Ile ni stroke ya aina gani, maana inasemekana kila kitu hakifanyi kazi chini ya Shingo, ni kichwa tu.

1. Je. Ni kweli Hasikii Njaa na anakula kama wajibu tu?

2. Je, ni kweli hahisi haja, yani yanatoka yenyewe tu ila yeye hajui kama imetoka.

Haya maswali kama ni kweli, basi kivip inakuwa hivyo yani hasikii njaa na hasilii haja ila yanatoka tu.

Jambo hili linaniumiza sana ufahamu wake, na kwa Kuwa Mimi sio MD, inanilazimu niwaletee wadau kupata majibu angalau ya uhakika.

Asanteni.
 
Sio stroke ni alipata ajali ya kugongwa na gari hvyo kumpelekea kupata tatizo la uti wa mgongo , akapooza kuanZia juu hadi chini , hvyo hawez tumia mikono, miguu na hisia pia hana kuanzia maeneo ya juu hadi chini
 
1469413284533.jpg
1469413264528.jpg
1469413270305.jpg
1469413296202.jpg

Sio stroke ni alipata ajali ya kugongwa na gari hvyo kumpelekea kupata tatizo la uti wa mgongo , akapooza kuanZia juu hadi chini , hvyo hawez tumia mikono, miguu na hisia pia hana kuanzia maeneo ya juu hadi chini
 
Tetraplegia, also known as quadriplegia, is paralysis caused by illness or injury that results in the partial or total loss of use of all four limbs and torso; paraplegia is similar but does not affect the arms. The loss is usually sensory and motor, which means that both sensation and control are lost.

Inaonekana hilo ndo tatizo linalomsumbua unfortunately halitibiki.
 
Tetraplegia, also known as quadriplegia, is paralysis caused by illness or injury that results in the partial or total loss of use of all four limbs and torso; paraplegia is similar but does not affect the arms. The loss is usually sensory and motor, which means that both sensation and control are lost.

Inaonekana hilo ndo tatizo linalomsumbua unfortunately halitibiki.
So HASIKII NJAA KABISA, WALA HAJA?
Sio stroke ni alipata ajali ya kugongwa na gari hvyo kumpelekea kupata tatizo la uti wa mgongo , akapooza kuanZia juu hadi chini , hvyo hawez tumia mikono, miguu na hisia pia hana kuanzia maeneo ya juu hadi chini
 
Basi ni hatari, KAMA HATA NJAA HASIKII DUH
 
[1]TUMIA VIZURI AFYA YAKO KABLA HAYAJAKUPATA MARADHI.

[2]TUMIA VIZURI MALI YAKO KABLA HAUJAKUKUTA UFAKIRI[UMASKIN].

[3]TUMIA VIZURI UHAI WAKO KABLA HAUJAKUKUTA UMAUTI[KIFO].
 
Mkuu naona unajizunguusha, si ungeuliza tu direct kwamba Anahisi hisia za mapenzi au Lah???
Unapiga KONA nyingi kama mafikizolo bhana...
Nadhanj hilo nalo alihitaji kuuliza.

Lakini sasa, hata akisikia, ataezaje kufanya.?!
 
Naona kwa makusudi kabisa mnahamishia mada kwenye vitu vingine kabisa.

Muacheni dada wa watu bana.
Yeye ni binadamu kama sisi, kitendo cha kuanza kumuona yuko tofauti ndio unyanyapaa wenyewe, sisi tumemkubali the way alivyo,,,, no need to please
 
Back
Top Bottom